Yaani iko hiv ukitaka kupata sherehe kwa kutumia pesa yako fanya mapenzi na malaya.
Malaya Wana starehesha hatari maana amekutana na mitambo aina nyingi
Ebwanae!! Yaani nilicho gundua wabunge wanataka pesa zote ziwe zao. Yaani ni unyama ulio pitiliza.
Kuna watumishi huu mwaka wa sita patupu harafu mbunge anasema million 12 kwa majibu wa Heche ni ndogo. Aiseeee! Hatari sana mbunge wa Jimbo gani huyo? Au sio mtanzania.
Dunia ni watu inatakiwa utafute watu ili ujifunze ya watu ili ufanikiwe vile vile maendeleo huletwa na watu.. Sio kujifungia ndani eti upate maendeleo hakuna Dunia ya hivyo
Mimi ninachoamini mtu aliyesoma anajua vitu vingi vingi sana ambavyo hao wakina msukuma hawajui degree ni Elimu kubwa sana. Sijui wabunge wasomi Wanamuogopa kumjibu ndio maana anavimba kichwa na kuwa nanga, hakusoma tu akubali au arudi shule umri na umbo vinamruhusu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.