Binafsi simuamini Lowasa, nasema kweli lowasa simuamini ndani ya chadema, hata Sumaye pia simuamini, hivi kwa akili ya kawaida kabisa wale wafia chama watoke tu kirahisi ccm???
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu nauita upumbavu, tena upumbavuuuuuuu, nna hasira hakyamungu, ni aibuuuuu, mtu tangu juzi anaongea, na akataja na namba za gari zilizokuwa zinamgmfuatilia, Leo mnajifanya kushtuka!!!! Kweli mnajifanya kushtuka, huu sio ujinga? Bongolanda tunaelekea wapi lkn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usaliti ni hulka ya mtu, ni asili ambayo kamwe mtu kuiacha ni kujikana mwenyewe, wapo wengine hata umkojoze Mara kumi kwa tendo bado tu atachepuka maana ni asili yake, ni tabia yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo kwenye Mapito, ni wakati wake wa kujitafakari na kutengeneza na Mungu wake, na hakika ataamka tena, tumeagizwa kuombeana na si kuhukumu so atengeneze tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yethuuuuu, ni kweli kauliza swali hilo? Hapana bhana mi thiamini, kama ni kweli basi atakuwa alipitiwa tu jamani. Hahahaa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.