Kwakweli hua inasikitisha sana na ndo maana mara unasikia kipindi cha mitihani ya kitaifa kuna walimu wanakamatwa wanaonyesha majibu wanafunzi,hii ni kutokana na kukubali kupewa fedha kidogo ili wavujishe mtihani,kwa kada ya walimu kwakweli hua inasikitisha sana.
Sijajua kwa hili limekaaje kutokana na hyo t shirt ya Tanzania,ila swala lakujisomea kwenye baraza za majirani ambazo zinataa hilo swala lipo na hata barabarani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.