Kwa sasa tuna ombwe la kiuongozi..Itatuchukua muda sana kurudi kwenye mstari!Mambo ambayo naona tunahitaji kwa sasa ni maamuzi magumu na uharaka wa kutoa hayo maamuzi!Kasi ya mafisadi kurudi imekua juu mno ukiacha wahalifu na vibaraka wa mabeberu au wanaharati hewa.
Vitu kwa sasa vinaenda...
Hata Nokia iliuzwa kwa Microsoft..lakini simu ya Nokia kitochi zipo na maisha yanaendelea kama kawaida..Usipotoshe mkuu,kubadili umiliki wa biashara haimaanishi wakati wote kubadili bidhaa na accessory zake..
Lisu ana maneno zaidi ya kasuku au kameza jenereta mbele ya mabeberu ila jimboni kwake watu wanateseka..wampige chini
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.