Haya ya kwamba siasa zinaishia uchaguzi yamekuja kutokea wapi?? Kwa hiyo walioandika katiba walisahau kuwa kuna shughuli za maendeleo baada ya uchaguzi??
KAPTULA LA MARX
Hiki ni moja ya vitabu vilivyowahi kuandikwa kwa ustadi mkubwa na Prf. E kezilahabi juu ya mfumo wa uendeshaji maisha katika taifa hili ambalo pamoja na mifumo yake mingi limekuwa likijinasibu kuwa ni la kijamaa kujitegemea ingawa ujamaa huu unaonekana kama "kaptula kubwa la...
kwangu naona is better uende.....huna ulichotufanyia zaid ya marktime....pumzika mzee nchi itakukumbuka kwa kushusha thamn ya shiling,kupandisha bidhaa,kufuta uchaguzi bila kufata sheria,kweli TANZANIA itakukumbuka jk kwa kuifanya familiya yako iwe tajr ndani ya miaka 10.....ansante sana baba
ni ishara nzuri kwa uchaguzi huu kwa kuwa vuijana ndiyo watamua hatima ya taifa lao ,ni wao wenye mda mrefu wa kufaidika au kuumia na mfumo wa kiutawala utakaoundwa na serikali inayopuigiwa kura leo
kuipigia kelele ccm kuendelea kuwa madarakani mika mitano ni kujiandaa kulalamika malalamishi ya aina moja kwa miaka mingne mitano yaani
maji hamna.....
umeme hamna
mishahara haipandi
huduma za afya mbovu
shule hazina madawati
wasanii hatuna hati miliki
migomo ya wanavyuo....
kina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.