Kassim Majaliwa ateuliwa na Rais Magufuli kuwa Waziri Mkuu awamu ya tano (Wasifu wake)

Wabongo mnaamini kweli katika CV, ndo maana watu wana fake sana vyeti.
 
Kuwepo kwa elimu ya kidato cha sita katika mfumo wa elimu ya Tanzania ni kupoteza muda hakuna ujuzi wowote anopata mtu wa kumtofautisha na kidato cha nne. Hivyo mtu kutokupita direct kidato cha tano na sita siyo ishu.
 
Kuwepo kwa elimu ya kidato cha sita katika mfumo wa elimu ya Tanzania ni kupoteza muda hakuna ujuzi wowote anopata mtu wa kumtofautisha na kidato cha nne. Hivyo mtu kutokupita direct kidato cha tano na sita siyo ishu.

ni kweli but katika mfumo ipo hakuna cha kukwepa
 
baada ya kumaliza secondari kigosera alijiunga na chuo cha ualimu nadhani katika level ya cheti

inaonekana mh hakusoma form six , hilo siyo mhimu sana lakini ilikuwaje akatoka chet akajiunga na UD bila kusoma dip au form six? hakuna sehemu inayoonyesha hizo hatua za six au dip.

angalia anasema -1999-1999 amefanya pgdp , kuna utata hapo japo pgdp ni mwaka mmoja, utata upo kwenye mwaka ..ina maana alianza kusoma jan akamaliza kati ya sept - dec. au ilikuwaje... angesema may be 1999 to 2000.

tunaomba majibu.. utata wa elimu ya waziri mkuu.

Kabla hajapendekezwa Mh. Rais alijiridhisha na CV yake so umechelewa, it wont change anything!!!
 
Hii ndio TANZANIA yenyewe kwa yenyewe ni mojawapo ya maajabu ya dunia
 
Baada ya kumaliza secondari kigosera alijiunga na chuo cha ualimu nadhani katika level ya cheti.

Inaonekana mh hakusoma form six , hilo siyo mhimu sana lakini ilikuwaje akatoka chet akajiunga na UD bila kusoma dip au form six? Hakuna sehemu inayoonyesha hizo hatua za six au diploma.

Angalia anasema -1999-1999 amefanya pgdp , kuna utata hapo japo pgdp ni mwaka mmoja, utata upo kwenye mwaka ina maana alianza kusoma Jan akamaliza kati ya Sept - Dec. au ilikuwaje... angesema may be 1999 to 2000.

Tunaomba majibu utata wa elimu ya waziri mkuu.

Endelea kuvimbisha/ kuumiza misuli ya kichwa chako na vyeti .
 
ni kweli but katika mfumo ipo hakuna cha kukwepa

Takukuru ifanye uchunguzi juu ya hili. Tusikubali majibu ya mkato. Kama vipi atoke hadharani na kukiri njia za mkato alizotimia kupata cheti cha kidato cha sita
 
Kuwepo kwa elimu ya kidato cha sita katika mfumo wa elimu ya Tanzania ni kupoteza muda hakuna ujuzi wowote anopata mtu wa kumtofautisha na kidato cha nne. Hivyo mtu kutokupita direct kidato cha tano na sita siyo ishu.

Sio kweli. Kuna mambo mengi ya kujifunza kidato cha tano na sita kuliko kidato cha nne. Usione walioweka mfumo huo ni wapuuzi. Ndio maana hata mwalimu alieishia kidato cha nne na kujiupgrade hata apate diploma uwezo wa kufundisha kidato cha 1-4 anaukosa!
 
Baada ya kumaliza secondari kigosera alijiunga na chuo cha ualimu nadhani katika level ya cheti.

Inaonekana mh hakusoma form six , hilo siyo mhimu sana lakini ilikuwaje akatoka chet akajiunga na UD bila kusoma dip au form six? Hakuna sehemu inayoonyesha hizo hatua za six au diploma.

Angalia anasema -1999-1999 amefanya pgdp , kuna utata hapo japo pgdp ni mwaka mmoja, utata upo kwenye mwaka ina maana alianza kusoma Jan akamaliza kati ya Sept - Dec. au ilikuwaje... angesema may be 1999 to 2000.

Tunaomba majibu utata wa elimu ya waziri mkuu.

Angalia kwanza amesoma nchi gani kumbuka Pgdp na Masters ulaya ni miezi 9 tu hayo miaka 2 yapo Tanzania tu na baadhi ya nchi za Africa
 
Kabla hajapendekezwa Mh. Rais alijiridhisha na CV yake so umechelewa, it wont change anything!!!

Una uhakika alijiridhisha? vipi kuhusu Muhimbili na Mashine za MRI na S.Scan alijiridhisha deni la malipo ya billion 7 kwa kampuni ya phillips? na alijiridhisha kuwa gharama za kutengeneza zilizoainishwa ni ndogo kuliko kununua mpya?
 
Angalia kwanza amesoma nchi gani kumbuka Pgdp na Masters ulaya ni miezi 9 tu hayo miaka 2 yapo Tanzania tu na baadhi ya nchi za Africa

nakuabariana na wew mzee! utata wangu alianza lini? umeunderline nikajua umesoma na kuelewa vyema kumbe ni umeharibu wino wako tu
 
Miaka 10 mtaani baada ya kumaliza kidato cha nne. Halafu moja kwa moja chuo!!!!? Kama vipi aachie ngazi. Maana jamii inamtilia mashaka na haina imani naye.
 
Back
Top Bottom