Recent content by Somalia Tanzania

  1. Somalia Tanzania

    Jimbo la Tundu Lissu lina hali mbaya, hakuna maendeleo yoyote

    Sio kosa lako labda umetumwa
  2. Somalia Tanzania

    Bunge lasema halijapokea barua ya Nyalandu kujiuzulu, lamvua ubunge kutokana na CCM kumfukuza uanachama

    Nasikia siku za mwisho wadau tutajielekeza kwa maulana ili kujitakasa madhambi yetu ready kuingia peponi,,,, leo hii naona madhambi yanazidi kuwatafuna wana ccm na taratiiibu wote watabamia CDM kujitakasa na kuomba msamaha kwa wananchi! Mi simo ila........pongezi kwa Nyarandu.
  3. Somalia Tanzania

    Jerry Muro: Zitto Kabwe ana tatizo zito kichwani

    Hivi kwani Zitto ni mpinzani? Anaonesha cheche ili arudishe imani kwa watzania. Na huyo Jerry anaetoa ubuyu kwa msaada wa data toka Lumumba, nahisi katumwa maana nae ukimuuliza undani wake atakimbia! Ifike pindi ukweli uchukue nafasi yake, na wale wanaoweka wazi ukweli huo wasiandamwe! Kwa...
  4. Somalia Tanzania

    Acacia: No formal proposal has been put to us for consideration at this point in time

    Mfumo wa uendeshwaji wa serikali si wa wazi, anko alikataa mfumo wa uendeshwaji wa serikali wazi, kwa maana hiyo watzania tutakuwa tukipewa taarifa Na hii ipokee kama taarifa
  5. Somalia Tanzania

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Mara paaah! Game linaanza," Michango ya wahanga wa tetemeko la ardhi Kagera inatumiwa kwa shughuli za serikali, hapo ndipo nliona hata kijiko kinaweza kusonga ugali
  6. Somalia Tanzania

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ziarani nchini Canada kwa shughuli za kikazi

    Atuletee bombadier yetu japo sitegemei kuipanda
  7. Somalia Tanzania

    Unakwenda mwezi na nusu sasa, CHADEMA hawataki kumtoa dereva

    Hakika kama watu wa Lumumba mko namna hii, mimi nitaenda Zimbabwe soon! Mbona wakati wa Jk hamkuwa na akili butu kama hiyo? Au anko kawaweka ndani ya chupa hata kazi yenu halali mmesahau, au nyie ni wageni ktk tasnia ile!
  8. Somalia Tanzania

    Huyu mchora katuni wa DW alikuwa anamaanisha nini?

    Uchochezi huoo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Back
Top Bottom