Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameondoka leo Jumatatu, Oktoba 16, 2017 kuelekea nchini Canada kwa shughuli za kikazi.
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu, imesema akiwa Canada, Majaliwa anatarajiwa kufanya mazungumzo na viongozi waandamizi wa sekta mbalimbali za kipaumbele.
Canada ni miongoni mwa nchi zenye ushirikiano wa muda mrefu na Tanzania kisiasa, kijamii na kiuchumi.
Chanzo: Mwananchi
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu, imesema akiwa Canada, Majaliwa anatarajiwa kufanya mazungumzo na viongozi waandamizi wa sekta mbalimbali za kipaumbele.
Canada ni miongoni mwa nchi zenye ushirikiano wa muda mrefu na Tanzania kisiasa, kijamii na kiuchumi.
Chanzo: Mwananchi