Recent content by solowisonzo

  1. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanzania ya sasa Watu wa hovyo kijamii na matukio ya hovyo ndiyo yanashabkiwa na 'Kutrendi' sana?

    Bashite aliwahi kukosoa umaarufu wa hovyo wa pierre likwidi akaishia kudhihakiwa na kuoga matusi
  2. S

    JamiiForums Tanzania Hodi humu ndani

    Rudi nyumbani kumenoga
  3. S

    JamiiForums Tanzania Propaganda vs facts!

    nimeyachunguza matokeo ya shule ya majengo secondary yenye usajili namba S485 kuanzia mwaka 2003-2009 sijaliaona jina la godlisten malisa au ulifukuzwa shule kabla ya pepa? kwann usikubali kwa moyo mweupe kuwa ile divishen four yakule minaki n ya kwako? wenzio mchana wamekutetea wamesema...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Propaganda vs facts!

    nimeyachunguza matokeo ya shule ya majengo secondary yenye usajili namba S485 kuanzia mwaka 2003-2009 sijaliaona jina la godlisten malisa au ulifukuzwa shule kabla ya pepa? kwann usikubali kwa moyo mweupe kuwa ile divishen four yakule minaki n ya kwako? wenzio mchana wamekutetea wamesema...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Propaganda vs facts!

  6. S

    JamiiForums Tanzania Propaganda vs facts!

    kwenye iyo article anasema amesoma majengo secondary n kama ndivyo ina maana kutakuwa na kina godlisten malisa watatu aliesoma jk nyerere secondary aliesoma minaki secondary aliesoma majengo secondary sasa ukienda kwenye records za majengo secondary jina la godlisten malisa halionekan jina la...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    umpigie kura usimpigie kura magufuli ndie rais wa awamu ya tano hutaki hama nchi
  8. S

    JamiiForums Tanzania Jk ataweza kumnadi J.P.Magufuri na kumtosa swahiba wake Lowassa!!?

    dr.slaa yupi uyo wa uvinza au uyuuyu alistaafu siasa?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Magufuli ni mwanasiasa aliyefilisika kihoja na wala hana uwezo wa kushinda uchaguzi kihalali

    chama cha demokrasia ya mafisadi(CHADEMA)
  10. S

    JamiiForums Tanzania Hivi kinachoitwa MFUMO ni kitu gani?

    hii ni ngumu kumeza UPAWA hapa hawawezi kupagusa ni pamoto kwa kuongezea hivi huo mfumo ni kiumbe kilicho hai ama hakina uhai na kama kina uhai je kina masikio? kina macho? kinanusa? kama si kiumbe hai icho kiumbe mfumo kimetengenezwa kwa materials zip? udongo? mbao? chuma? au vito?
  11. S

    JamiiForums Tanzania Tulioenda Dodoma ndiyo tulioshuhudia nguvu ya Edward Lowassa! Ana mikakati mizito!

    mbona pamoja na jeuri yake yote iyo uliyomsifia jina walikata na hapakuchimbika kama alivotishia
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kushabikia Rais ajae, ambae hana anachokisimamia au kukiamini kwa kusubiria Ilani ya chama hafai

    mnapenda kuahidiwa ahadi zisizotekelezeka shame on you!!!
  13. S

    JamiiForums Tanzania Lowassa: Wakati ukifika nitawaambia watanzania

    madiwani ishirini wa kimasai ni wengi hahahahahahahahaa
  14. S

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CCM Arusha unasubiri nini?

    hivi kuna madiwani wa jimbo lingine waliohama au wanaotarajia kuhama zaidi ya wale 18 wa monduli???? hahahahahahahahahahaaa kingunge hajahama na hana mpango wa kuhama then mnaita mpasuko ndani ya ccm kajipangeni upya kama mlitegemea ccm kupasuka ili mfaidike basi mmefanikiwa kupata kata kumi na...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

    kapewa kifungo cha kuzungumza hadharani
Back
Top Bottom