kajaribu kaka siombaya ni heri uanze ukiona haikulip then unaweza ukaipotezea kuliko kukata tamaa kabisa nivizuri kujaribu jambo mwenyewe kuliko kusikiliza maneno yawatu ingawa kweli salary yake ni laki mbili sabini\
swala liko hvi system yenyewe iko hovyo watu wana madesa kibao hata sisi ambao hatuhusiki na hyo interview tunawaona watu wanavyo hangaika kutafuta madesa ukijifanya unajua inakula kwako mwenyewe so bora mshkaji alivyo amua kuweka wazi na kutafuta desa la interview.watu wanapewa hadi maswali...
duuu ebwana eeh kumbe huyu btch alipigwa mjengo ndani ya jumba la bigbrother daa kweli haoni hata aibu hana tofauti na wanawake wanao jiuza barabarani mana ndio ambao hawaoni aibu kwa matendo mabaya wanayo yafanya duu shame on her umaarufu wabei rahisi kweli ni balaa aibu yake mwenyeweeeeee
kjana mtatiro anajaziba sana apunguze jazba kidogo ila nimmoja kati ya vijana wapiganaji mimi sithan swala la kuhamia chama fulani ndio suluhisho ingekua watanzania sisi niwatu wakupima,kusikiliza na kuelewa vizuri hoja za hawa wanasiasa tungeweza kupata viongoz wazuri bila kujali vyama..TATIZO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.