Mimi nina rafiki yangu alituma maombi hapo UDOM kwenye nafasi ya Administrative officer,nilipoona haya majina nikagundua kuwa hizi ni siasa,nimemwambia asije tu maana anapoteza muda wake,hapo kuna udini na watu wanapeana kazi kwa ground za kidini sana...hiki kitu kinaniuma sana basi tu,watu watapoteza pesa zao kwa kitu ambacho hawatafanikiwa kabisa...kumbuka hapo kila mkubwa ana watu wake kama watano hivi...sasa wewe mkulima kama mimi utapigana kweli?
Siendi nimegairi maana itakua upotevu wa nauli ndio maana wanataka kuwapiga watu paper,kazi kweli kweli
Hivi hawa jamaa wanarudisha nauli na maradhi au imekula kwako?
Kumbe huu usaili ndo umetuletea balaa la kwenda kusajiliwa kule jamhuri eeh? Dah! Kila la heri watumishi.