Mmh! Usitoe zaidi ya uwezo.... ndio kutoa au kusaidia watu ni sehemu ya kumtumikia Mungu lakini kusikufanye uishi kwa shida ... kama Mungu amekupa hiyo karama ya kukirimu atakupa double... vya kwako na vya hao watu wengine atavipitisha mkononi mwako ili uwasaidie but wewe hutapungukiwa.... maana...
Wakuu katika hili zoezi la kuhakiki simu tunaambiwa tutume IMEI namba kwenda 15090 , tukishatuma kuna msg inarudi sasa nitajuaje kama ni simu original au fake? Nimejaribu kutuma imekuja msg ya model ya simu yangu na namba Kama nne hivi in brackets . Msg Yao inasema Kama IMEI siyo ya simu yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.