Mmh! Usitoe zaidi ya uwezo.... ndio kutoa au kusaidia watu ni sehemu ya kumtumikia Mungu lakini kusikufanye uishi kwa shida ... kama Mungu amekupa hiyo karama ya kukirimu atakupa double... vya kwako na vya hao watu wengine atavipitisha mkononi mwako ili uwasaidie but wewe hutapungukiwa.... maana...
Wakuu katika hili zoezi la kuhakiki simu tunaambiwa tutume IMEI namba kwenda 15090 , tukishatuma kuna msg inarudi sasa nitajuaje kama ni simu original au fake? Nimejaribu kutuma imekuja msg ya model ya simu yangu na namba Kama nne hivi in brackets . Msg Yao inasema Kama IMEI siyo ya simu yako...
Abrahamu aliambiwa na mke wake Sara ajipatie mtoto kutoka kwa mjakazi wao Hajiri, kinyume na ahadi ya Mungu alivyomuahidi atampa mtoto, wenyewe waliona wanachelewa.Kitendo hiko cha Abrahamu kilileta shida mpaka leo kwa Hajiri (mjakazi) akazaliwa Ishmaeli kwa Sara (mkewe) akazaliwa Isaka mtoto...
Maneno mazuri sana, ila tukumbuke kumcha mungu ndipo maombi yetu yatakapojibiwa kwa haraka, pia tutakapofanikiwa kupata hizo kazi tuendelee kutumika ktk ufalme wa Mungu tuchape kazi kwa bidii na weledi na kuwa waaminifu, usimuombe Mungu akupe kazi kwasababu una degree,Mungu hatafuti watu wenye...
umesomea mambo ya mazingira? au sio profession yako? umesoma course gani? mie ni environmental planning and management officer mahali fulani tuwasiliane environment is too wide nipm nijue zaidi eneo unalohusika nalo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.