Umefikiri vizuri ndugu. Serikali ya Rwanda iliamua kuwekeza kutoka hapo ilipokuwa tena kwa jasho na dame. Je serikali ya Tanzania iliamua kuwekeza Kagera? Sana sana walipora hela za tetemeko.
Halafu tofautisha nchi na Mkoa.
Ningekuwa mkazi wa huko hata kukutukana ningekutukana.
Kama hujui maana ya harakati nyamaza.
Harakati ni dhambi? Siasa ni nini na harakati ni nini? Au haujui harakati ni aina ya siasa pia?
Kama hujui harakati ni siasa inayobase kwenye fact na misinamo. Mara nyingi hufikia hatua hiyo kama wanachokisema kinapuuzwa.
Wewe siasa ni ipi na harakati...
Umefikiri vizuri wewe? Serikali ni wafanyakazi wetu. Walituomba tuwape kazi tukawapa. Uliona wapi mfanyakazi anamfokea bosi wake? Serikali haina pesa sisi tunatoa kodi tuliyokubaliaba kupitia bunge wakafanye vitu tuliowatuma wakati wa uchaguzi na kuwalipa mshahara. Ukifikiri kwa mtazamo huo...
Wana mdiscus Pep kwa muktadha wa Arteta. Yaani kichwa chako kizito mpaka huwezi kuelewa? Hapa inafanyika comparison Pep kafanya nini, kapitia wapi, kwa staili gani ya uongozi na je Arteta ataweza kukanyaga alipokanyaga rafiki yake? Soma uelewe sio usomeckujibu tu.
Umeandika kitu ndeefu ya kutunga na uongo. Unarudia rudia sentensi kama kuku aliyekatwa kichwa na haina manufaa kwako na wanaosoma. Inakusaidia nini kuwa muongo na mzandiki? Unafurahia kubambikia watu kesi? Sio muda mrefu utawaomba watu msaada wakusaidie dhidi ya hao unaowatukuza.
Umepata kichaka unakunyaaa!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona wabunge wa CCM wanamuomba Rais atunge sheria? CCM kuna maandazi zaidi ya vyama vingine. Ndio maana mwendazake akifanikiwa kuwarubuni wakahamia kwa inzi wa kijani anawapa na position hapohapo sababu sisiemu haina watu weledi.
Na Arusha kuna Idd Mkuluu na Rama Mkuluu mmoja wao ameshatangulia kwa changamoto za kupumua pamoja na kampani yao. Wametumiwa sana na Gambo na CCM kuumiza watu. Kuchoma watu visu lilikuwa jambo rahisi kwao kuliko hata kumenya chungwa.
CCM ilitengeneza laana ambayo tulikuwa tunakaribia...
Urusi wanauza gesi ulaya nzima na wanawauzia mpaka waliowazidi warusi kiuchumi ina maana waache kuwauzia halafu wakae nayo kwa faida gani.? Hayo mawazo ya kichoyo yanaonyesha tabia yako. Unakuta mtu anakataa kukodishia mwingine shamba kisha mwaka jana alivuna mazao mengi kuliko yeye na analiacha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.