Habari ndugu,
Nimejaribu kupita kwenye website mbali mbali zinazouza used cars kutoka Japan nimekutana na gari aina ya Toyata Pixis Epoch na imenivutia hasa kutokana na ulaji Mdogo wa mafuta (32km/ litre) ila kwavile sina utaalamu kabisa wa magari nimeona niulize kwa anayefahamu kama hizi gari...
Samahani mkuu
hiyo tra calculator inakuaje?
natamani kifahamu iyo formular ili niitumie kujitathmini kama nitaweza kumudu gharama za gari ninayotaka kugiza kupitia befoward. Tafadhali nisaidie
Habari wanajukwaa
nahitaj tray 200 za mayai ya kuku wa kisasa kesho.
kama unayo tafadhali ni pm tufanye biashara
nimepata mteja ila stock yangu haijaweza kukidhi mahitaji yake.
Nahitaj mfugaji muaminifu tusaidiane kutoa huduma hii.
Natanguliza shukrani
Kama ww hiyo app ikiwekwa na kwako bado utaonekana ni msafi (huna vimada) basi unaweza kumuacha kabisa na mahali achana nayo
ila km naww unamsaliti na roho yako ni shahidi.. oaneni tu. siwez kujua malengo yenu.... inaweza kuwa mmepanga kuacha vimada mara baada ya kuvaa pete.
wanaume wengi...
Inamaana Uber hailipi kama inavyoelezwa?
kuna mtu humu jf alitoa mrejesho kuwa anauwezo wa kupata kati ya ef 60 hadi lak 1 kwa siku. Ilinivutia sana kiasi kwamba niko kwenye mchakato wa kupata gari kwajili ya hiyo kaz
tafadhali nipe uzoefu wako kwenye swala la mapato ya Uber kama mtu ataamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.