Recent content by Solaris

  1. S

    Anga ya kufanyia Mapenzi.

    Ni ubunifu na inategemea kila mtu anapenda kuwa kwenye hali gani kuna wengine wakipandwa na mizuka hata hicho kitanda kinakuwa hakifai wanakwambia twende sakafuni au sofas kusudi aweze kuonyesha ujuzi zaidi, kuna wengine wanaona ni bora waweke muziki wakati wakifanya mapenzi maana kuna watu huwa...
  2. S

    Let not your hearts be troubled

    If you were to ask your neighbour, "What would give you peace of mind"? he might tell you.", A vacation in Bermuda !" or "An extra hundred grand would give me peace", or A new Ferrari would make me content!" But going places and getting stuff is usually a temporary solution.... Peace of mind...
  3. S

    Global recession around the world

    Kutokana na global recession inayoendelea kote duniani sasa hivi kuna tetesi kwamba jumamosi inaweza kuhalalishwa kama siku ya kazi ili kuongeza production je kwa wataalamu wa mambo ya uchumi hii kitu iko applicable? na je inaweza kusaidia au ndio mambo yatakuwa magumu zaidi? Nawasilisha
  4. S

    Natafuta Deal ya Transport na Kuuza Scania Trucks

    Thanks Bobby we will keep in touch got your number and email address
  5. S

    Natafuta Deal ya Transport na Kuuza Scania Trucks

    Bobby unaweza kutupa contact zako ikiwemo email na namba ya simu for further talks kuhusiana na hili swala.
  6. S

    Mengi reveals state 'secrets'

    MwanaFalsafa umesahau ule usemi wa kiswahili unaosema kwenye msafara wa MAMBA na KENGE wamo pia
  7. S

    Swedish cellular phone company set to open offices in Tanzania

    Una maana gani kusema shareholding structure yao ina utata kidogo please fafanua zaidi
  8. S

    Shule: Wapi nimpeleke mwanangu?

    Kuna shule zifuatazo but its the matter of choice whether you will like them or not pia ada nayo ina depend 1. IST (International School of Tanganyika) hii iko Masaki one of the best school in this country 2. ISM (International School of Moshi) hii iko Moshi i guess its affiliated to IST...
Back
Top Bottom