Habari wakulu,
Sorry niko kwenye transport industry natafuta connections kama mtu anaweza kunisaidia za kusafirisha mizigo iwe ndani ya nchi au nje pia kokote kule. Tunaoperate hizi trucks kubwa aina ya Scania. Nitashukuru kama yule anayehisi kuna opportunities mahali akinipm. Nitatoa details zaidi kwenye hiyo pm.
Kuna thread ya nyuma kidogo bahati mbaya sijaipata na sikumbuki jina la aliyeiandika. Kuna mtu alikuwa disappointed na one of the banks nadhani ambako alikuwa anataka credit support kwa ajili ya kununua truck na alikuwa na contract tayari ya transport. Kama ni wewe hujapata bado hiyo support au ulipata but unataka nyingine please naomba tuwasiliane kwani naweza kukupa truck at a very reasonable price ukatoa deposit then ukalipa balance kwa instalment.
Ahsanteni.
Sorry niko kwenye transport industry natafuta connections kama mtu anaweza kunisaidia za kusafirisha mizigo iwe ndani ya nchi au nje pia kokote kule. Tunaoperate hizi trucks kubwa aina ya Scania. Nitashukuru kama yule anayehisi kuna opportunities mahali akinipm. Nitatoa details zaidi kwenye hiyo pm.
Kuna thread ya nyuma kidogo bahati mbaya sijaipata na sikumbuki jina la aliyeiandika. Kuna mtu alikuwa disappointed na one of the banks nadhani ambako alikuwa anataka credit support kwa ajili ya kununua truck na alikuwa na contract tayari ya transport. Kama ni wewe hujapata bado hiyo support au ulipata but unataka nyingine please naomba tuwasiliane kwani naweza kukupa truck at a very reasonable price ukatoa deposit then ukalipa balance kwa instalment.
Ahsanteni.