kwa bahati zuri nimepona Masundosundo kwenye uume ugonjwa umenisumbua takribani mienzi tisa +9 ) leo naandika hivi yani nimepona kabisa nashukuru sana Jf doctor Kinga muhimu sana ,
Nilikuwa nafatilia mkopo benk sasa barua ya mwenyekiti wa mtaaa wetu ni wa Ccm yaani sikutegemea kama hajui kusoma wal kuandika cha Ajabu mtaa anaongozi mjini kabisa nikasema tunaish kama msumbiji hivi .
Chuo kilikuwepo zamani kabla ya Kuunguliwa na moto ,Tangu kiungue na moto chuo basi ndo ikawa mwisho ya kuchukuwa wanafunzi na wanafunzi wengine wakahama kabisa sasa kwanini wasikifufue ili kuongeza wataalamu wa afya ?
Mimi nilitaka kufa siku moja job alifika mteja wa kumwekea protector wakati namwekea protector kwenye simu yake nikaona number ya mke wangu inampigia video call Aise karibia moyo usimame ,nikapeleleza nika ambiwa yule anamla sana mke wangu .Acha tu
Pia nimewai ota usingizini kuna mtu namjua kabisa alinijia kazini kwangu kuwa anauza misukule na hadi tukaenda kuangalia kwake anao watatu anawatoa wawili hadi nilishutuka Usingizini .
Mshana Mama angu amekufa mwezi uliopita sasa kuna siku nimeota ananiambia nimletee Dawa yupo sehemu fulani hii imekaa aje au mama angu yupo anaishi msukule ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.