yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,553
- 3,515
Salaam wakuu.
Huyu ni mtoto wa kike, amehitimu kidato cha nne.
Naomba ushauri asome course gani au fani gani inayoendana na ufaulu wake na ambayo hatokwama kupata kazi baada ya kuhitimu. Sitaki aende A- level ( form 5 & 6).
CIV - C.
HIS - C.
GEO - C.
KISW - C.
ENGL - B.
PHYS - D.
CHEM - B.
BIOL - B.
MATH - C.
Huyu ni mtoto wa kike, amehitimu kidato cha nne.
Naomba ushauri asome course gani au fani gani inayoendana na ufaulu wake na ambayo hatokwama kupata kazi baada ya kuhitimu. Sitaki aende A- level ( form 5 & 6).
CIV - C.
HIS - C.
GEO - C.
KISW - C.
ENGL - B.
PHYS - D.
CHEM - B.
BIOL - B.
MATH - C.