Mkuu ukiingia kwenye haya maisha unatakiwa kufikiria maisha ya jumuia siyo binafsi tena, umesahau kuna siku utaamka na mpango wa kuvaa tshirt fulani unakuta mwenzio ameshindia jana yake
mkuu kwenye kupata mtu sahihi ndo inabidi iliwezekana kumshirikisha mungu, ukikosea kuoa, utahitaji busara sana kurejesha amani na furaha kwenye maisha yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.