Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,985
- 12,527
Hivi unamjua Magu sawa sawa wewe? Hebu subiri June biashara zote zisimame akose kodi kama atawalipa, kama hawajawauliza niwalipe mbupuma yangu?Mkuu hata uendelee miaka miwili as long kwamba nafanya kazi na naingiza mapato nakosaje mshahara?? sio kwamba natamani ugonjwa uendelee, HAPANA! Ila Dharau zao kwetu watumishi wa Umma zikome kabisa