Chakufanya wewe fanya mambo yako, fanya kila namna mhudumie mwanao tu, kama ni shule aende. Mimi ilinikuta km hiyo, na shida ilikuja kumpata mtoto kuchelewa kuanza shule, na mpk sasa wa rika lake wako madarasa mawili mbele.
Nimesoma comments zote,, mpk nimemaliza nimepata elimu yakutosha, nimegundua maisha siyo marahisi kama watu wanavyofikiria, lazima ufanye research ya maana kuanza hii business. Unahitaji upata mda na kujifunza. Asante sana mr keisangora na wengine kwa kutupa madini yakutosha.
Nitaku pm kwa...
Jamani.mimi gari yangu toyota fielder, taa ya imegence break imewaka kwenye dashboard muda wote. Navojua ni kwamba ni weka emergency break ndio inatakiwa kiwaka, but sasa hivi hata nishushe bado inawaka. Msaada tafadhali
Mbona fresh tu acha akafundishe na yeye apate mshahara.
Hakuna tofauti na waliopora uchaguzi waziwazi. Ebu waacheni wapate rizki.
Pia yule aliyerudiwa mara 196 aripoti kotokote,. Hapa ndipo ujue waliopata hizo kazi kuna connection ya ajabu
Mimi sikuhizi siendi Church na sadaka yangu natoa njiani Kwa wasiojiweza, na popote roho yangu inapoona inafaa. Siwezi nikatoa kwa hao mapadri, halafu nijidanganye naenda kuungama kwa Pengo. Never
Pia wengi wao wanaishi kwa apartments na nyumba zao nyingi ni gorofa.
Pia wako na Wi-Fi kwenye matatu zao nyingi.
Pia matatu zao ni kupanga foleni esp kwa sehemu zenye abiria wengi. Hii wa Tz tuige
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.