Recent content by Sodagani

  1. S

    Queen Darleen Afunguka kuhusu kutoka kimapenzi na Ali Kiba

    Hahahahaaàa kaka mkubwaaa
  2. S

    Captain Jack Sparrow

    Mwenye link ya web ya kudownload move za huyu bwana naomba aitupie hapa javini. Nahisi ni mimi tu ndie nilie baki bila kumjua au kuona move zake.
  3. S

    Ali Kiba kurekodi video Marekani

    Duh umefufua uzi wz 2009!!! Ngoja wenye timu zao waje kuzungumzia hizi ahadi na mikakati aliyosema.
  4. S

    Garage gani inaweza geuza Toyota Allion LHD iwe RHD?

    Naye ameshasema kuuza imekuwa ngumu ndio maana anataka gereji yenye fundi mzuri ambadilishie mfumo aweze kwenda nayo akatumie huko. Naona tumebadilisha mada yake na kumuanzishia mada mpya.
  5. S

    Jibu hesabu yangu, wengi mtafeli hapo

    Jibu ni 90 Njia zaweza kuwa nyingi ila mimi nimetumia hii. 4 + 4 = 20 Hapo kafanya 4×4 + 4 = 20. 5 + 5 = 30 Hapo kafanya 5 x 5 + 5 = 30. 6 + 6 = 42 Kachukua 6 x 6 + 6 = 42. 7 +7 = 56 Kachukua 7 x 7 + 7 = 56 So 9 + 9 = 90 Yaani 9 x 9 + 9 = 90
  6. S

    Hii tabia ya kukinga mafuta kwenye malori ya mafuta barabarani si sawa kabisa

    Tukitazama kwa jujuu twaweza ona ni sahihi ili nao wajipatitie riziki zao ila kwa jicho la pili ni hatari sana kwa maisha yao na maisha ya wengine kwakuwa kama itatokea mtu kutupa kipisi cha sigara au ikatokea hitilafu yoyote inayoweza toa cheche za moto inaweza kuteketeza gari nyingi na...
Back
Top Bottom