leipzig
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 2,767
- 1,703
Nimekuwa nikishuhudia watu wakifungua na kukinga mafuta yaliyobaki katika malori ya mafuta,wengine wanafanya kazi vitendo hivyo mbele ya polisi wa usalama.
Kwa uelewa wangu naona sio sawa kwa vile wanasababisha mafuta kumwagika barabarani na pia uwezekano wa kutokea ajali endapo lori litaondoka pasipo kujua.
Kwa uelewa wangu naona sio sawa kwa vile wanasababisha mafuta kumwagika barabarani na pia uwezekano wa kutokea ajali endapo lori litaondoka pasipo kujua.