Recent content by Social maniac

  1. Social maniac

    Plastic shredding machines...

    Co-asking
  2. Social maniac

    Vizazi vizalia na masalia. Je, kuna asili iliyopotea?

    Huu uzi nimeupenda sana. Kuna namna umenipa kitu kipya ambacho sikuwahi kukitilia maanani. Kwenye familia zenye mchanganyiko wa watoto (Waliozaliwa either na baba mmoja ila mama tofauti au vice versa), huwa kuna utofauti mkubwa sana wa tabia. Vividly, ni utofauti wa uwezo wa darasani. Katika...
  3. Social maniac

    Huduma ya kupangisha nyumba zenye samani ni chache Tanzania

    Tatizo letu wabongo ni usela gogo. Watu watajimilikisha hizo furniture na wengine kuziharibu kabisa. Hizo huduma ni nzuri lakini risk ni kubwa kutokana na level ya ustaarabu tuliyonayo Sent from my MI 8 SE using JamiiForums mobile app
  4. Social maniac

    Picha: Irene Uwoya, The undisputed [emoji91]

    Mwezi wa alfajiri, ashazeeka huyu
  5. Social maniac

    Mji mzito huu part 2

    Yani watu kama hawa, akitaka kwenda kihuni na wewe unaenda nae hivyo hivyo.
  6. Social maniac

    Mji mzito huu part 2

    Pia inaashiria kukosa uthibitisho wa story zake, anatumia matusi na ukali kutisha watu wasihoji ukweli wa story zake.
  7. Social maniac

    Mji mzito huu part 2

    Mimi ananichekesha anavyotishia watu wakimchallenge kwenye hekaya zake. Anakuwa mkali na matusi juu
  8. Social maniac

    Wafahamu Mastaa wanaotumia nguvu za Giza / ushirikina

    Mchambe basi tuone anavyotembea uchi barabarani[emoji23]
  9. Social maniac

    Utajari wa Muna Love

    Cyberbullying is the new cool in town[emoji23][emoji23]
  10. Social maniac

    Mji mzito huu part 2

    Hahaha, mediocrity at its highest level. Mimi ninachoomba ni hizo chats zao tu ulizosema unataka kuanika hapa. Kama unajua hulipwi, kilichofanya ulete huu uzi ni nini? Na kilichofanya utishie kuanika chats wakati unajua huna ni nini?
  11. Social maniac

    Mji mzito huu part 2

    Anika chats zao jombaa, maana ninachokiona ulikuwa unatishia kujamba wakati unaumwa tumbo la kihara[emoji23][emoji23][emoji23] We can see through your lies man.
  12. Social maniac

    Ninauza mchele wa kahawia (brown rice)

    Ninauza mchele wa kahawia (brown rice), kwa anaehitaji anaweza nicheck PM tuka-arrange namna ya kukufikishia mzigo. Kwanini mchele wa kahawia (brown rice)? - Una madini zaidi ya manganese, magnesium na chuma ukilinganisha na mchele mweupe - Una punguza uwezekano wa kupata maradhi ya kisukari -...
  13. Social maniac

    Hivi kwanini Tundaman anamchukia sana Diamond Platnumz?

    Ni utoto tu, kutafuta umaarafu wa mitandaoni ambao hauna tija
  14. Social maniac

    Hivi kwanini Tundaman anamchukia sana Diamond Platnumz?

    Still rubbish I didn't join JF for those comments or views.
  15. Social maniac

    Leo tumalize ubishi ni msanii gani wa rap anaweza fika hata nusu ya Fid Q

    Hashim dogo alikuwa anajua ila pia he is overrated
Back
Top Bottom