Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,110
- Thread starter
- #21
Wanamuonea kijicho na kumchukia pia.Na H Baba pia, hawamchukii ila wanamuonea wivu
H-baba kwa sasa amejirudi kaanza kumletea shobo mondi
Wanamuonea kijicho na kumchukia pia.Na H Baba pia, hawamchukii ila wanamuonea wivu
Na wewe umefuata nini humu kama sio kuchunguza maisha ya watu?wewe kwa nini unamchukia huyo Tundaman? pia achana na maisha ya watu kwani hayakuhusu
Apambane na hali yake.Tunda lazima amchukie sababu amesababisha meneja wao babu tale awatelekeze tip top na kubanana WCB
serious sasa umejuaje kama wanamchukiaList ya wasanii wengine wanaomchukia diamond bila sababu ya msingi ni hii hapa.
Still rubbishWewe tangu ujiunge JF hujawahi kuandika mada ikapata angalau comments 50 na hujawahi kupata views angalau 2K .
Sasa jipime Mimi na wewe nani huwa anaandika rubbish.
Anza kuwafuatilia kuanzia interviews wanazopewa na wakiulizwa kuhusu diamond utagundua ninachokisema.serious sasa umejuaje kama wanamchukia
uwezi kusema bila sababu maana kunasababu zingine aziwezi kuwa wazi mfn wivu au kuna issue zao zisizofahamika ni sababu pia.Anza kuwafuatilia kuanzia interviews wanazopewa na wakiulizwa kuhusu diamond utagundua ninachokisema.
Chuki binafsi hazifai .Na wewe Hance nawe huyo Dimond kakupa limbwata nini? Mm nampenda ila usilazimishe watu wote kumpenda
hata mimi nilitegemea kuliona hilo..aisee halafu hii mada yake inaonyesha wazi kuwa nimtu wanamna gani..!? naimeegemea upande mmoja pasipo kuelezea mapungufu ya huyo anayemsema kuwa anachukiwa..ipi sababu inayomfnya achukiwe na hao..Dah... mleta mada una uwezo mdogo wa kuchambua mambo...
Umeandika maneno kibaaaaaaao nikajua utaweka sababu zinazokufanya useme anamchukia.... lakin hamna ulichoandika.. upupu tuu.
Still rubbish
I didn't join JF for those comments or views.