Recent content by so law

  1. so law

    JamiiForums Tanzania Kama kweli TISS ndio wanavujisha hizi 'audio clips', basi wanalisaidia Taifa

    Nataman hili suala lipite harak, Tundu lissu arudi... Mamb mengine yaendelee.. Ccm watajijua wenyew na chama chao... Taifa lina Changamoto sana hili ni basi tu tumeamua kuweka focus kweny vtu vidogo (clip za kina nape)
  2. so law

    JamiiForums Tanzania Ikulu, Dar: Yaliyojiri Kuapishwa kwa Mawaziri wateule Hussein Bashe na George Simbachawene

    [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli mambo ni mengi muda mchache
  3. so law

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli atengua uteuzi wa January Makamba kuwa Waziri wa Mazingira; yeye asema ameyapokea mabadiliko kwa moyo mweupe

    Sijui 2020. Inikute nikiwa wapi,,? Sioni 2020 iliyo njema kabisa.
  4. so law

    JamiiForums Tanzania Uhusiano uliopo Kati ya rushwa na shilingi kupanda Thamani

    Recently nimekuw najiuliza maswali jinsi shilingi yetu inavoshuka Thamani huku Huku shilingi ya Kenya Ukiendelea kuimarika... Well mimi sio mchumi ndo sababu sielewi how come Nchi ambayo ina kesi za rushwa shilingi yake inakua imara... Mean while Tz tumejitahid now kubana matumiz na kuzuia...
  5. so law

    JamiiForums Tanzania Njoo tujifunze code challenge kama JS, Java, PHP, HTML, CSS, C#

    [emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
  6. so law

    JamiiForums Tanzania Alichokifanya Irene Uwoya kwenye utambulisho wa Swahiliflix ni ushamba na urimbukeni wa pesa

    Waandishi. Wenyew wa siku hizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
  7. so law

    JamiiForums Tanzania Faiza ally, Mbasha wavurugana.

    I hate men in women businesses.... Period!
  8. so law

    JamiiForums Tanzania FACT. media za bongo zinamuhitaji zaid diamond kuliko yeye anovozihitaj

    [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] haki unapata tabu....
  9. so law

    JamiiForums Tanzania FACT. media za bongo zinamuhitaji zaid diamond kuliko yeye anovozihitaj

    Who said dat...??? [emoji4][emoji4][emoji4]
  10. so law

    JamiiForums Tanzania Yu wapi mama Janeth Magufuli?

    Nakumbka mama Salma kikwete alitanua mpka akawa anapewa report ya MKOA na waheshimiwa wakuu wa mikoa. Ziara za ndani na misafara mirefu ya First Lady SALMA kikwete ilitaradadi,, ma event White House Usiseme... Ziara za nje mpka akaenda kwa King muswati kushuhudia akichagua mke...
  11. so law

    JamiiForums Tanzania FACT. media za bongo zinamuhitaji zaid diamond kuliko yeye anovozihitaj

    Kibongo kibongo 24k kukuangalia live ni wengi sana... Ukiachan na hzo takwimu zako mkuu.
  12. so law

    JamiiForums Tanzania FACT. media za bongo zinamuhitaji zaid diamond kuliko yeye anovozihitaj

    Inategemea unamsifia nn.. Ningemsifia sura au kifua basi una haki ya kunishangaa..
  13. so law

    JamiiForums Tanzania FACT. media za bongo zinamuhitaji zaid diamond kuliko yeye anovozihitaj

    Kibongo bongo ni wengi sana... Sijawah ona YouTube channel yyte imeend live na ikapat viewers hat 5k tu.
  14. so law

    JamiiForums Tanzania FACT. media za bongo zinamuhitaji zaid diamond kuliko yeye anovozihitaj

    Zaid ya watu 24,000/= Jana walikesha kumfatilia Diamond plutnumz. Hii sio kawaida, hakuna mtu bongo Hii alishawah kwenda YouTube live na akatizamwa na watu zaid ya elfu kumi. Ifike wakati media zeny bifu na Huy dogo wakubali tu kwamb dogo moto wake hauzimik na kukubalika kwake na wananchi...
  15. so law

    JamiiForums Tanzania Lema azidi kuchanja mbuga Arusha Mjini , leo ni zamu ya kata ya Lamulawa

    Kumbe mikutano ni ruksaa.
Back
Top Bottom