Kama kweli TISS ndio wanavujisha hizi 'audio clips', basi wanalisaidia Taifa

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Najaribu kufikiria nje ya boksi kuwa inawezekana kuvuja kwa audio clips ni mipango ya Usalama wa Taifa TISS kuliokoa taifa iliyopangwa kwa akili sana bila kuleta madhara makubwa kwa nchi na kwa wenye mamlaka.

Mwanzo nilidhani ni mpango wa kukilinda chama.

Baada ya clips kuvuja, walio ndani ya chama wameanza kutambuana na kuimarisha makundi yao, waliokuwa wanatafuta platform ya kusemea wameanza kuchukua nafasi zao, waliokuwa na hamu ya kuwatukana wastaafu wamechukulia hiyo advantage, vile vile chama kama chama kimepata sababu ya kuwaadhibu walioonekana kukipinga, hapa sioni namna yeyote ya kukilinda chama.

Kama ni Usalama wa Taifa au kikundi cha watu (kina Musiba) ndio waliopanga kama si makusudi, basi wali-underestimate madhara yake kwa upande wa chama na kama walidhani wanamsaidia Rais kama Musiba anavyodai basi walikosea sana maana clips zinazidi kumchonganisha rais, chama na wastaafu.

Lakini kwa upande mwingine ninavyoona mimi, mgawanyiko huu na tafrani hii inakwenda kuondoa na kupunguza ile nguvu ya chama kupoka na kuhodhi madaraka ya rais, Rais abaki na madaraka yake kamili na chama kijisimamie kama chama bila kutegemea kofia ya urais kukilinda. Kama ni TISS wamebuni hili basi hongera sana.

I stand to be corrected.
 
Kufanya taasisi za serikali zifanye kazi ya chama sio sahihi. Baadae itakuwa vigumu sana kuzitenganisha hizi taasisi na shughuli za siasa. Na hapa ndio tunaenda kupata dikteta aliyegraduate kutoka dikteta uchwara mpaka dikteta kamili!
 
Najaribu kufikiria nje ya boksi kuwa inawezekana kuvuja kwa audio clips ni mipango ya Usalama wa Taifa TISS kuliokoa taifa iliyopangwa kwa akili sana bila kuleta madhara makubwa kwa nchi na kwa wenye mamlaka.

Mwanzo nilidhani ni mpango wa kukilinda chama.

Baada ya clips kuvuja, walio ndani ya chama wameanza kutambuana na kuimarisha makundi yao, waliokuwa wanatafuta platform ya kusemea wameanza kuchukua nafasi zao, waliokuwa na hamu ya kuwatukana wastaafu wamechukulia hiyo advantage, vile vile chama kama chama kimepata sababu ya kuwaadhibu walioonekana kukipinga, hapa sioni namna yeyote ya kukilinda chama.

Kama ni Usalama wa Taifa au kikundi cha watu (kina Musiba) ndio waliopanga kama si makusudi, basi wali-underestimate madhara yake kwa upande wa chama na kama walidhani wanamsaidia Rais kama Musiba anavyodai basi walikosea sana maana clips zinazidi kumchonganisha rais, chama na wastaafu.

Lakini kwa upande mwingine, hii inakwenda kuondoa na kupunguza ile nguvu ya chama kupoka na kuhodhi madaraka ya rais, Rais abaki na madaraka yake kamili na chama kijisimamie kama chama. Kama ni TISS wamebuni hili basi hongera sana.

I stand to be corrected.
Nataman hili suala lipite harak, Tundu lissu arudi... Mamb mengine yaendelee.. Ccm watajijua wenyew na chama chao... Taifa lina Changamoto sana hili ni basi tu tumeamua kuweka focus kweny vtu vidogo (clip za kina nape)
 
mkuu unatetea watu wadukuliwe!? Kudukua na kuwapa public maelezo ya siri ni kosa, bora wangebaki nazo huko, kwanza wengine hamna uvumilivu wa kusikiliza umbea wa watu, si unaona mwenyewe kelele zinazodhihirisha kua watu hamna vifua😂
 
mkuu unatetea watu wadukuliwe!? Kudukua na kuwapa public maelezo ya siri ni kosa, bora wangebaki nazo huko, kwanza wengine hamna uvumilivu wa kusikiliza umbea wa watu, si unaona mwenyewe kelele zinazodhihirisha kua watu hamna vifua😂
Kazi mojawapo ya Usalama wa Taifa ni kudukua, na kulilinda taifa kwa mbinu yeyote ile, inawezekana waliona hii ndio njia itakayosaidia.
 
Hivi pale mwanachama au kiongozi anapotamkia mwanachama mwenzake kwenye mtizamo tofauti ndani ya chama yakuwa wakijitokeza tutawapiga.
Na wanaombiwa ni watu wenyewe ushawishi ndani ya chama na nje ya chama hii hali sio nzuri ktk chama chochote kinachotafuta ufuasi wa kiitikadi.
Ni juzi tuu tulikuwa tunazomewa mitaani Leo hii tena tunaanza mivutano ya ndani ya chama hapa kwa ujumla hatuna jipya kwani sijui viongozi wangu wa chama sijui wamejiandaa vipi ktk hili
 
Mku haujawahi kutokea mgogoro kama huu ndugu mpaka mtu anaonekana ktk taarifa ya habari kuwa watakaojitokeza tutawapiga.
Tutawapiga watu wenye ushawishi wa kisiasa tena waliokuwa viongozi
Ila CCM wana kuaga na migogoro lakini kwenye mambo yao ya msingi wanakuwa kitu kimoja
 
Kazi mojawapo ya Usalama wa Taifa ni kudukua, na kulilinda taifa kwa mbinu yeyote ile, inawezekana waliona hii ndio njia itakayosaidia.
Ok , ila kwanini hawakubakia nazo ili iwe kwa matumizi yao!? Kwanini wanarusha kwa public!?
 
Hivi ni maslahi ya CCM au Taifa? kwanini ugomviu wa CCM mnatakja kuufanya kuwa wa Nchi ?
Mnagombea madaraka ndani ya chama mnataka kufanya kama vile ni madaraka ya taifa?
 
Mimi naona waliozitoa public walidhani wanaisaidia CCM yaani wali under estimate damage yake baada ya kugundua kuwa zinakula kote kote ndiyo maana unaona zimekoma sasa wako busy kufanya gamage control.
 
Nimependa mstari wako wa mwisho tu basi. Hivyo kama kuna namna ya kugonga like kwenye sentence ya mwisho naomba maelekezo nigonge like za kutosha.
 
Najaribu kufikiria nje ya boksi kuwa inawezekana kuvuja kwa audio clips ni mipango ya Usalama wa Taifa TISS kuliokoa taifa iliyopangwa kwa akili sana bila kuleta madhara makubwa kwa nchi na kwa wenye mamlaka.

Mwanzo nilidhani ni mpango wa kukilinda chama.

Baada ya clips kuvuja, walio ndani ya chama wameanza kutambuana na kuimarisha makundi yao, waliokuwa wanatafuta platform ya kusemea wameanza kuchukua nafasi zao, waliokuwa na hamu ya kuwatukana wastaafu wamechukulia hiyo advantage, vile vile chama kama chama kimepata sababu ya kuwaadhibu walioonekana kukipinga, hapa sioni namna yeyote ya kukilinda chama.

Kama ni Usalama wa Taifa au kikundi cha watu (kina Musiba) ndio waliopanga kama si makusudi, basi wali-underestimate madhara yake kwa upande wa chama na kama walidhani wanamsaidia Rais kama Musiba anavyodai basi walikosea sana maana clips zinazidi kumchonganisha rais, chama na wastaafu.

Lakini kwa upande mwingine ninavyoona mimi, mgawanyiko huu na tafrani hii inakwenda kuondoa na kupunguza ile nguvu ya chama kupoka na kuhodhi madaraka ya rais, Rais abaki na madaraka yake kamili na chama kijisimamie kama chama bila kutegemea kofia ya urais kukilinda. Kama ni TISS wamebuni hili basi hongera sana.

I stand to be corrected.
kama ni usalama wa taifa basi hawajielew hizo walitakiwa kuzifanyia kazi bila kuweka kwene public maana sasa washa wa alert wanasiasa na watu mbalimbali kutoamini njia ya simu tena.....sijawai ona hii kitu
 
Najaribu kufikiria nje ya boksi kuwa inawezekana kuvuja kwa audio clips ni mipango ya Usalama wa Taifa TISS kuliokoa taifa iliyopangwa kwa akili sana bila kuleta madhara makubwa kwa nchi na kwa wenye mamlaka.

Mwanzo nilidhani ni mpango wa kukilinda chama.

Baada ya clips kuvuja, walio ndani ya chama wameanza kutambuana na kuimarisha makundi yao, waliokuwa wanatafuta platform ya kusemea wameanza kuchukua nafasi zao, waliokuwa na hamu ya kuwatukana wastaafu wamechukulia hiyo advantage, vile vile chama kama chama kimepata sababu ya kuwaadhibu walioonekana kukipinga, hapa sioni namna yeyote ya kukilinda chama.

Kama ni Usalama wa Taifa au kikundi cha watu (kina Musiba) ndio waliopanga kama si makusudi, basi wali-underestimate madhara yake kwa upande wa chama na kama walidhani wanamsaidia Rais kama Musiba anavyodai basi walikosea sana maana clips zinazidi kumchonganisha rais, chama na wastaafu.

Lakini kwa upande mwingine ninavyoona mimi, mgawanyiko huu na tafrani hii inakwenda kuondoa na kupunguza ile nguvu ya chama kupoka na kuhodhi madaraka ya rais, Rais abaki na madaraka yake kamili na chama kijisimamie kama chama bila kutegemea kofia ya urais kukilinda. Kama ni TISS wamebuni hili basi hongera sana.

I stand to be corrected.
Ni wale wale wa Lumumba wa kulipwa buku saba kwa siku pambafu......
 
Hahahha acha waparurane. Issue ya kutoa zile Audio ni Kaburi la CCm na Taifa
 
Back
Top Bottom