My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,334
Kwa hiyo analala na Urais na si mke wake?Kwani hujui Mila za wasukuma? URAIS NI WA MAGUFULI SI WA MAMA JANETH,
Kwa hiyo analala na Urais na si mke wake?Kwani hujui Mila za wasukuma? URAIS NI WA MAGUFULI SI WA MAMA JANETH,
Acha kuzuga mkuuKwani hujui Mila za wasukuma? URAIS NI WA MAGUFULI SI WA MAMA JANETH,

hahahahahahahahaAcha kuzuga mkuu![]()
![]()
![]()



Ni takribani wiki moja tangu Rais Magufuli atue Chato kwa mapumziko. Katika kipindi hiko hatujamuona mama Janeth. Rais Kenyatta ameenda Chato, mama Janeth hajaonekana. Leo tumezindua mbuga, mama Janeth hajaonekana. Je mama Janeth ni yu wapi?
Ni takribani wiki moja tangu Rais Magufuli atue Chato kwa mapumziko. Katika kipindi hiko hatujamuona mama Janeth. Rais Kenyatta ameenda Chato, mama Janeth hajaonekana. Leo tumezindua mbuga, mama Janeth hajaonekana. Je mama Janeth ni yu wapi?
Rais Moi wa KenyaYule ni first lady mku raia wana haki ya kujua yuko wapi na kwa nini aonekani,au unataka tuongozwe na raisi muhuni asie na mke (kama labda wametengana) lazima tujue.
Rais mstaafu Moi wa Kenya aliporwa mke na tajiri mmoja Mkikuyu na kumwacha Rais aishi peke take Ikulu. Wakenya wakawa wanamkejeli kuwa anashindwa kutawala nyumba yake atawezaKwa ufupi kuna mkutano wa ma FIRST LADIES wa Africa hata Magret Kenyatta yupo huko....nadhani wapo Niamey
Kwa ufupi kuna mkutano wa ma FIRST LADIES wa Africa hata Magret Kenyatta yupo huko....nadhani wapo Niamey
Kuna tupa manufaa maana Rais bila mke atakuwa Muhuni kama wewe tuSometimes Muache Umbea bhana..hii ni maisha binafsi ya mtu...uwepo wake au kutokuwepo kwake hakukupi manufaa yoyote
Anayo sana!Duh ! Binadamu .ndio maaana raisi marufuku kuwa na simu kwa sababu mambo kama haya
Jikoni anampikia rais wakoNi takribani wiki moja tangu Rais Magufuli atue Chato kwa mapumziko. Katika kipindi hiko hatujamuona mama Janeth. Rais Kenyatta ameenda Chato, mama Janeth hajaonekana. Leo tumezindua mbuga, mama Janeth hajaonekana. Je mama Janeth ni yu wapi?
Sometimes Muache Umbea bhana..hii ni maisha binafsi ya mtu...uwepo wake au kutokuwepo kwake hakukupi manufaa yoyote
Anauguza mama mkwe wake! Unadhani ni hawa wa do.com, wanaochukulia mama mkwe ni mzigo! Ulimuona yule mama pamoja na kuugua muda mrefu,alivyoonekana nadhifu wakati wa sala na Uhuru Kenyatta. Kuzaa kulioje!