Pole sana ndugu. Ushauri wangu ni kwamba, kama wewe na familia yako ni waumini wa dini fulani, nakusihi fanyeni maombi juu ya hilo tatizo Mungu aliye muumba huyo mtoto bado hajamaliza kumuumba kwa hiyo mkumbusheni amalizie uumbaji na mtoto atakuwa salama. Humu utapewa ushauri mwingi saana...
Labda kama kuna mengine, bado mie sijaona shida, wangempa muda kuona kama atashindwa kulipa, nadhani transanction ni process it may take some time. Dr might be serious in this....
Reasoning yako nyepesi saana. Hayo maswali yako ulitaka watujibu wa TZ? Nchi zao zina majibu ya maswali hayo! Unataka Nani afanye uchunguzi huru unayeamini anaweza ili atumiwe huyo?
Flight nafuu ni bora ukaanzia Dar au Nairobi, maana za kuanzia KIA ina maana lazima uende either DAR au NRB. KQ kwa sasa ndio nafuu zaidi. Lakini pia kuna fastjet kuanzia Dar Kwenda Jburg. Just google Kenya airways .. the itakupa mahali pa kuchagua sayafari kwa maana ya siku na pia itakupa...
Tatizo siku hizi ni ngumu saaaana kupata marafiki wapya kwasababu ya teknologia. zamani watu walikuwa wanapata wachumba wakiwa safarini, mfano wamepanda gari moja au wapo kituoni kusubiri usafiri. lakini siku hizi kila mtu yupo bize na smartfone yake mda wooote! utaanzaje kuomsemesha? we cheki...
They are not compitent. Ubabaishaji mwingi saaana. wanavifaa lakini hawajui kuvitumia.. wakipita wanasiasa wanawa danganya tuuu na kwakuwa hawajui kitu wanadhani wanafanya vzr. Kila kitu kibadilishwe.. waliobaki pia wote wapo poluted.
umesema vema: Kusanya haya malalamiko ya abiria tofauti na kisha chambua kama yana hoja. wengi hatunaga muda kufatilia, zaidi tunaamua kuachana na basi husika. Bila shaka wewe unashea katika hili kampuni.. wapeni customer care training wafanyakazi wenu, ni hopeless kabisa. Huoni kwa pale...
Kuna wakati nilisafiri toka Arusha kuja Dar nilishangaa sana ukifika ofisi yao pale Moshi kwend Msalani kuna jamaa kama zezeta hivi anadaui malipo ya tsh 200?/ Nilibishana nae maana pale ni ofisi yao na mimi ni mteja wao inakuwaje nidaiwe kwenda msalani?? kwa kweli hawa ni KEROOOOOOOO! kampuni...
TBS (Tanzania Bureau of Standards) Kwa bahati mbaya watu wanaamini kuwa shirika hili wako makini kumbe ni uozo mtupu hakuna la maana. Vikao kila mara visivo na tija na kujigawaia seating allowance. Mfano kwenye kikao hata kama bosi anaeidhinisha kutoa allowance hajahudhuria BILA kuweka jina...
Si vema kuishi kwa hisia. Lakini dhahiri na wewe ni kati ya wanaovumilia pale fyeta. Mwambieni muhusika. Magufuli ana simamia nchi nzima sio hapo kwenu tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.