mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Hio imeandikwa kwenye ticket kwa nyumaIshu sio kulipa pesa, ishu ni kunshtukiza mtu kwa kitu ambacho hakuambiwa kabla
Hio imeandikwa kwenye ticket kwa nyumaIshu sio kulipa pesa, ishu ni kunshtukiza mtu kwa kitu ambacho hakuambiwa kabla
umesema vema: Kusanya haya malalamiko ya abiria tofauti na kisha chambua kama yana hoja. wengi hatunaga muda kufatilia, zaidi tunaamua kuachana na basi husika. Bila shaka wewe unashea katika hili kampuni.. wapeni customer care training wafanyakazi wenu, ni hopeless kabisa. Huoni kwa pale Korogwe hotel inazidi kudorora??Unawezaje kuhitimisha tuhuma kutokana na tukio moja tu?watanzania tunahitaji sana mabadiliko,hii ni tatzo mpaka kwa graduates kwenye desertation works zao... "darexpress inanyanyasa wateja wake". Variables zipi umetumia kujua hilo?unahoja ila poor presentation.
Unaozidi kilo 20 tena kwa makubaliano kabla basi halijaondoka, maana wao ndio wanapakia kwenye bootMzigo unaozidi kilo 20 ndio unaotakiwa kutozwa pesa
Kwa taarifa yako hii ni mara ya tatu kwa mimi na nimeshuhudia wakifanyiwa hivyo wengi ila inawezekana nao ni kama wewe wanasubiri itokee mara nyingi ndio walalamike hizo variables unazozitaka wewe ndio hufanya watu waseme tulimwambia wakati wameshakatika viungo.Unawezaje kuhitimisha tuhuma kutokana na tukio moja tu?watanzania tunahitaji sana mabadiliko,hii ni tatzo mpaka kwa graduates kwenye desertation works zao... "darexpress inanyanyasa wateja wake". Variables zipi umetumia kujua hilo?unahoja ila poor presentation.
cc: bomouwaKuna siku nimekwenda pale ofisi zao za Arusha kusafirisha bahasha ya A4 iliyokuwa na cheti nikamwomba dada aliyekuwa hapo hiyo bahasha asiikunje akaniambia hawezi kunihakikishia kuwa haitakunjwa basi nikamwambia kama ni hivyo anipe nikajaribu kutuma kwa kutumia kampuni nyingine. Yule dada wakati huo alikuwa kesha anza kuandika detail za mzigo akairusha ile bahasha chini kwa hasira akaniambia kwenda huko...dah nilitoka mnyonge sana na sijawahi tena kurudi Dar express hiyo ni kama miaka minne sasa imepita...nilijiapiza sitatumia huduma zao milele
Ungemtemea mateKuna siku nimekwenda pale ofisi zao za Arusha kusafirisha bahasha ya A4 iliyokuwa na cheti nikamwomba dada aliyekuwa hapo hiyo bahasha asiikunje akaniambia hawezi kunihakikishia kuwa haitakunjwa basi nikamwambia kama ni hivyo anipe nikajaribu kutuma kwa kutumia kampuni nyingine. Yule dada wakati huo alikuwa kesha anza kuandika detail za mzigo akairusha ile bahasha chini kwa hasira akaniambia kwenda huko...dah nilitoka mnyonge sana na sijawahi tena kurudi Dar express hiyo ni kama miaka minne sasa imepita...nilijiapiza sitatumia huduma zao milele