Recent content by Sniper999

  1. Sniper999

    Rasmi nimeachana na mapenzi

    Mkuu, huyu yupo na Depression punguza Absolution 😂
  2. Sniper999

    Rasmi nimeachana na mapenzi

    Ukiwa hujaachwa akapita mtu analia kisa mapenzi unamuona kama vile amekosa kazi za kufanya 😂
  3. Sniper999

    Rasmi nimeachana na mapenzi

    Kubabake! Kuna kipindi niliachwa nilijikuta naanza dozi ya juice ya bamia.. 😂 Mapenzi yamekaa kinafiki sana hapo unamkuta mwanangu Mshana Jr anabebika halafu huyu Binti Sayuni03 analia tu.
  4. Sniper999

    Rasmi nimeachana na mapenzi

    Kabisa 😂 Hapa nakazia kabisa mkuu..
  5. Sniper999

    Rasmi nimeachana na mapenzi

    Nakuja kukufariji tu sio kukusababishia matatizo. Naelewa mkuu!..
  6. Sniper999

    Rasmi nimeachana na mapenzi

    Mapenzi huwa hayashauriki hapo akipigwa busu la shingo tu. Unajiona mjinga.. 😂
  7. Sniper999

    Rasmi nimeachana na mapenzi

    Naomba nije PM kwako?
  8. Sniper999

    Vijana jifunzeni kusafiri, uenda wenza wenu wa maisha wapo moji mingine, usikomae kutafuta mchumba mkoa mmoja tu

    Kila ninapoangalia hii thread mafua yananikaba tu.. Huu ni ushauri, nasaha au mkolomeo?
  9. Sniper999

    Vijana wa kitanzania hawana tena upeo wa kujadili na kuchambua siasa upeo wao ni kuchambua mipira tu. Tutarajie maafa zaidi

    Hii hali ya kila sehemu kujadiri mpira ilifika muda nikachoka aisee! Nyumbani.. Mpira. Vijiweni.. Mpira. Mitandaoni.. Mpira. Mpaka nakosa pa kupumulia aisee!..
  10. Sniper999

    Dkt. Gwajima: Sakata la Mabinti wa Chuo Kikuu kupigana kisa mume wa mtu, Mwijaku kuhojiwa

    Ni kweli hii inauma mzee, hawa wamefanya makosa makubwa lakini kuwafukuza chuo ni makosa makubwa sana. Kuhitilafiana hutokea mara kadhaa kwenye jamii na reaction za kuhitilafiana zinatofautiana kulingana na jinsia (Me na Ke) Wanawake wanapohitilafiana huishia kuzalilishana, ndio maana wanawake...
  11. Sniper999

    Dkt. Gwajima: Sakata la Mabinti wa Chuo Kikuu kupigana kisa mume wa mtu, Mwijaku kuhojiwa

    Hakuna haja ya kufanya hivyo. Watakuwa wameonewa sana sana.
  12. Sniper999

    Hivi kati ya hawa mabinti wa kibongo celebrities, yupi hasa ni MVP kuliko wote?

    😂 Huu ni uchokozi sasa! Unataka unigombanishe na watu sio?
  13. Sniper999

    Nahisi leo ndo nimeona chuma ulete live

    Aambiwe mara ngapi? Lakini mpaka hapo yeye amejaribu kuelezea kile alichokiona.
Back
Top Bottom