Recent content by SN.BARRY

  1. SN.BARRY

    JamiiForums Tanzania Cambodia yaagiza Waafrika wote wakiwemo kutoka Kenya, Ghana, Cameroon na Uganda kuondoka nchini humo kabla ya Mei 31, 2026

    JAMANI KUNA WATU WAPAMBANAJI HADI CAMBODIA? WANAFATA NINI HUKO KWA WAUZA UNGA?
  2. SN.BARRY

    JamiiForums Tanzania KASULU: CCM yawaahidi wanakigoma na Watanzania 2025 kuwarejeshea tena kipenzi chao Samia Kwani ndani ya mwaka mmoja tu amefanya mengi mazuri,

    Nyie sio Mungu? Mmeanza sasa kukufutu kama kipindi kile cha Magufuli. Akifa kabla ya 2025 mtatuletea Mwigulu au Mpango?
  3. SN.BARRY

    JamiiForums Tanzania Zitambue tofauti za ubebaji maiti na majeruhi na tafsiri yake kiroho

    Mpare wa kwanza kuwa Mganga
  4. SN.BARRY

    JamiiForums Tanzania Ijue nguvu ya ajabu inayotamaniwa na wachawi na waganga wa kienyeji

    WE NAWE PITA HIVI. UNAJIFANYA MUNGU HAYUPO WAKATI HATA HIYO PUMZI HULIPII HATA MIA.
  5. SN.BARRY

    JamiiForums Tanzania Ijue nguvu ya ajabu inayotamaniwa na wachawi na waganga wa kienyeji

    Kwenye namba aliyoweka
  6. SN.BARRY

    JamiiForums Tanzania Kwa hili shambulizi Ukraine kuingia gizani mazima

    Anaua RAIA was bure
  7. SN.BARRY

    JamiiForums Tanzania Mliokopa salio la kawaida kwenye Airtel mmekutana na hiki kitu kwenye kulipa?

    Alichosema mleta mada; 1.Alikopa salio/muda was maongezi 2.Ameweka hela Airtel Money na kiasi kilichobaki kwe airtel money ya wamembadilisha kuwa salio LA kawaida wakati yeye may be kuna sehemu alitaka kutuma hiyo hela
  8. SN.BARRY

    JamiiForums Tanzania Rais Samia hata Mkoa wa Arusha uko Pembezoni ni lini utaleta Hospitali kubwa ya Rufaa ya Kanda?

    Muulize Gambo au Lema, kuna siku zilipigwa hapo wakigombea Hospitali
  9. SN.BARRY

    JamiiForums Tanzania Shaka: Rais Samia hana mbambamba kwenye maendeleo ya wananchi

    Kama kumremba Samia huyu dogo anajua. Uzuri Samia hana aibu hata umpe sifa feki anapokea tu! Tumerudi enzi za Magufuli Jembe si jembe!
  10. SN.BARRY

    JamiiForums Tanzania Rais Samia mpeleke Makamba Wizara ya Afya akaeneze kampeni yake ya "Mama na Moshi "

    Lisu, Makamba au Hussein Mwinyi ndio marais wako watarajiwa. Kuwa makini, Hasa Hussein mcheki vizuri
  11. SN.BARRY

    JamiiForums Tanzania Tuhuma za Kabendera dhidi ya Magufuli na ukimya wa Kikwete. Je, tuamini ni kweli?

    Dada yoga mlikuwa hamumuamini na riwaya zake, Kabendera na yeye hamumuamini? Ama kweli MEMKWA imeathiri sana watanzania
  12. SN.BARRY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dhana ya kuoa mtumishi mwenzake ili wasaidiane kimaendeleo imemponza

    Kweli mkuu, vijana wengi wamezoea ile sogea tuishi, hawajui hata maana ya NDOA.
  13. SN.BARRY

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Huku Yanga inafungwa huku Putin anapigwa! Tunaoumia NI sisi MASHABIKI
  14. SN.BARRY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dhana ya kuoa mtumishi mwenzake ili wasaidiane kimaendeleo imemponza

    Mmefunga NDOA kabisa na watoto juu ndio kiwanja na hela ziwatoe imani? Mtakuja kuuana nyie kiss hela na kiwanja
  15. SN.BARRY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dhana ya kuoa mtumishi mwenzake ili wasaidiane kimaendeleo imemponza

    HUYO ANAKUWA SIO MKE ILA NI MDANGAJI AU MALAYA ANAYEJIUZA TAFUTA MTU ALIYEFUNGA NDOA KANISANI, AKAHUDHURIA HADI MAFUNZO/SEMINA ZA NDOA AKUFUNDISHE MAANA YA NDOA AU MWILI MMOJA KISHA UANDIKE HUO ....WAKO HAPA
Back
Top Bottom