technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,635
- 58,276
Hii kete ya NCHIMBI Itawateka wajinga na watu wasiojua siasa
Idara ya usalama wa taifa ambayo ipo compromised na magenge ya CCM sasahv wanawaza mtu wao wa kurithi kitu Cha urais kuanzia Sasa ikiwa Jambo lolote litatokea.
Wanajua huyu mama asafishiki, huyu hana tena ushawishi.
Sasa wanatengeneza Jambo ambao litakuja kuwa Kama lile la......
1: Kikwete atishia kujiunga chadema Kama atakatwa 2005.
2: Magufuli ataka kujiuzulu kama wazuri wa ujenzi
3: Samia ataka kujiuzulu kama makamo wa rais azuiwa na Kikwete.
4: Mwinyi ajiuzulu Kama waziri wa mambo ya ndani.
Hawa wote badae walikuja kuwa Marais na wakaendeleza mfumo ule ule wa CCM pengine wengine kuwa makatili zaidi.
Huyu NCHIMBI anaandaliwa kwa usitadi mkubwa kuja kuwa rais aliyechaguliwa na watanzania wajinga.
Idara ya usalama wa taifa ambayo ipo compromised na magenge ya CCM sasahv wanawaza mtu wao wa kurithi kitu Cha urais kuanzia Sasa ikiwa Jambo lolote litatokea.
Wanajua huyu mama asafishiki, huyu hana tena ushawishi.
Sasa wanatengeneza Jambo ambao litakuja kuwa Kama lile la......
1: Kikwete atishia kujiunga chadema Kama atakatwa 2005.
2: Magufuli ataka kujiuzulu kama wazuri wa ujenzi
3: Samia ataka kujiuzulu kama makamo wa rais azuiwa na Kikwete.
4: Mwinyi ajiuzulu Kama waziri wa mambo ya ndani.
Hawa wote badae walikuja kuwa Marais na wakaendeleza mfumo ule ule wa CCM pengine wengine kuwa makatili zaidi.
Huyu NCHIMBI anaandaliwa kwa usitadi mkubwa kuja kuwa rais aliyechaguliwa na watanzania wajinga.