duh? kumbe na nyie matajiri mna mapito makubwa hivyo? nilizani ni sisi tusio na uhakika wa kula ata mlo mmoja kwa siku! ss tunaamini kwa kudra za mungu hata leo itaitwa kesho! mwamini mungu bro utapata mpenyo tu.
ni mtadhamo tu, so kuna ukweli na uhongo katika hilo hayo yote yanategemea sana wahusika wakoje i.e maisha ya mama mkwe na mkeo mwenyewe! mama aweza kuwa mjane anaemwamini mungu na kulea malezi kwa binti zake ktka maadili yanayofaa na mwenendo safii, na mke wako aweza kuwa full wife material...
kaka acha uhongo! zipo nyingi tu zenye excessive papuchi fluid but doesnt tall wth ua explanation! nachokiona hapo ulikutana na popobawa wewe ukizani unamla mwanachuo kumbe ugegeda jini! ilo ni fundisho kwa wazinzi mnaosarit wakezenu, plz usirudie tena tubu dhambi hiyo na umurudie muumba wako...
japo kwa ulewa wangu mada hii ingepelekwa jf doctor ungepata ufafanuzi mzuri! kwa kutumia uelewa wangu wa kitabibu ni kweli nyege zaweza kumfanya mtu kuchanganyikiwa kuumwa mwili mzima na hata kuzimia, kitaalamu waiita hiyo condisheni hysteria kwa kifupi ni tatzo la kisaikolojia ambapo mgonjwa...
achilia mbali ata kama mh. mengi atakua na masilahi binafsi ila kuhusu prof muhongo huyu msomi sina imani nae hata kidogo jamaa mara nyingi anapenda kutuaminisha wanachafikiria wao hopo wizarani ndio final say kwa watanzania kitu ambacho sio sahihi. kauli zake zimejaa dharau, kubeza na kujisifia...
MImi ni kijana wa umri wa kati , nimeoa miaka miwili iliyopita
katika maisha yangu mapya ndani ya taasis ya ndoa nimekumbana na changamoto
inayonitesa sana , mke wangu ana asili ya kumiliki kila kitu nikiwa na maana ya kupenda kuweka kila kitu chini ya utawala wake, inafikia hatua anataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.