Recent content by smartmgabe

  1. S

    Naomba ushauri jamani

    duh? kumbe na nyie matajiri mna mapito makubwa hivyo? nilizani ni sisi tusio na uhakika wa kula ata mlo mmoja kwa siku! ss tunaamini kwa kudra za mungu hata leo itaitwa kesho! mwamini mungu bro utapata mpenyo tu.
  2. S

    Ukioa kwenye familia ya aina hii, uwe tayari kuendeshwa na mama mkwe.

    ni mtadhamo tu, so kuna ukweli na uhongo katika hilo hayo yote yanategemea sana wahusika wakoje i.e maisha ya mama mkwe na mkeo mwenyewe! mama aweza kuwa mjane anaemwamini mungu na kulea malezi kwa binti zake ktka maadili yanayofaa na mwenendo safii, na mke wako aweza kuwa full wife material...
  3. S

    Mambo 10 m/mke anayofikiria pindi anapokuona kwa mara ya kwanza

    mjini mbumba tu! tabia na heshima kijijini kwenu!
  4. S

    Hii ndo sex body....

    sex body ni kama za video queens wa bongo movie au bongo flava
  5. S

    Kwa watu wazima tu 35+

    kaka acha uhongo! zipo nyingi tu zenye excessive papuchi fluid but doesnt tall wth ua explanation! nachokiona hapo ulikutana na popobawa wewe ukizani unamla mwanachuo kumbe ugegeda jini! ilo ni fundisho kwa wazinzi mnaosarit wakezenu, plz usirudie tena tubu dhambi hiyo na umurudie muumba wako...
  6. S

    Kukaa mda mrefu bila kufanya mapenzi huweza kumfanya binti kupoteza fahamu?

    japo kwa ulewa wangu mada hii ingepelekwa jf doctor ungepata ufafanuzi mzuri! kwa kutumia uelewa wangu wa kitabibu ni kweli nyege zaweza kumfanya mtu kuchanganyikiwa kuumwa mwili mzima na hata kuzimia, kitaalamu waiita hiyo condisheni hysteria kwa kifupi ni tatzo la kisaikolojia ambapo mgonjwa...
  7. S

    Utajiri wa maaskofu Tanzania: Gwajima tajiri no.1

    nasubiri siku ni nikifika KWETU PAZURI! ntafurahi nikiwakuta watumishi wote wakubwa!
  8. S

    Dk. Reginald Mengi: Waziri Muhongo ni muongo, takwimu zake za uongo pia!

    achilia mbali ata kama mh. mengi atakua na masilahi binafsi ila kuhusu prof muhongo huyu msomi sina imani nae hata kidogo jamaa mara nyingi anapenda kutuaminisha wanachafikiria wao hopo wizarani ndio final say kwa watanzania kitu ambacho sio sahihi. kauli zake zimejaa dharau, kubeza na kujisifia...
  9. S

    PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

    walikuwapo akina chenge, karamagi na rostam azizi lakini wote wamepotea! so ni upepo tu, utapita!
  10. S

    Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

    ukipanda matembele dont expect to reap nyanya chungu!!
  11. S

    Mh..!!!

    kuku na yai kipi kilitangulia?
  12. S

    Kwanini wanaume viwembe/malaya (players) hupendwa na wanawake?

    wengi wao vitombi wana toa vitu wa wananawake wanataka like fweza, style hadimu, kudanganya saaaana!
  13. S

    Tabia yake hii inanitesa

    MImi ni kijana wa umri wa kati , nimeoa miaka miwili iliyopita katika maisha yangu mapya ndani ya taasis ya ndoa nimekumbana na changamoto inayonitesa sana , mke wangu ana asili ya kumiliki kila kitu nikiwa na maana ya kupenda kuweka kila kitu chini ya utawala wake, inafikia hatua anataka...
Back
Top Bottom