224Nassah Member Nov 15, 2013 37 2 Dec 10, 2013 #1 Hivi matatizo ndo yanapunguza hela au hela ndo zinapunguza matatizo
sir mushi Senior Member May 26, 2013 143 52 Dec 10, 2013 #2 ......................nimesahau, nkikumbuka ntakwambia
Sabung'ori JF-Expert Member Jul 19, 2011 2,166 1,247 Dec 10, 2013 #3 ...ni kama panga na tupa...ukinoa panga kwa tupa,tupa inalika na panga linalika mwisho wasiku panga linaisha na tupa inaisha...
...ni kama panga na tupa...ukinoa panga kwa tupa,tupa inalika na panga linalika mwisho wasiku panga linaisha na tupa inaisha...
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,145 13,216 Dec 11, 2013 #4 Kwa sasa wewe una hela au matatizo?
I ISIMBA Senior Member Feb 7, 2013 144 30 Dec 11, 2013 #5 Sabung'ori said: ...ni kama panga na tupa...ukinoa panga kwa tupa,tupa inalika na panga linalika mwisho wasiku panga linaisha na tupa inaisha... Click to expand... very true, ila kuna watoto wa mjini humu hawajui tupa labda ungewaelewesha kidogo...
Sabung'ori said: ...ni kama panga na tupa...ukinoa panga kwa tupa,tupa inalika na panga linalika mwisho wasiku panga linaisha na tupa inaisha... Click to expand... very true, ila kuna watoto wa mjini humu hawajui tupa labda ungewaelewesha kidogo...
K kufikirika Member Nov 22, 2013 39 17 Dec 11, 2013 #6 Isimba,ID nzuri inanikumbusha kijiji nilichotoka
I ISIMBA Senior Member Feb 7, 2013 144 30 Dec 12, 2013 #10 kufikirika said: Isimba,ID nzuri inanikumbusha kijiji nilichotoka Click to expand... umetoka kijiji gani wa-kufirika?
kufikirika said: Isimba,ID nzuri inanikumbusha kijiji nilichotoka Click to expand... umetoka kijiji gani wa-kufirika?