Recent content by smartj

  1. smartj

    Walimu wa redioni/Tv kipindi cha Corona,wanafundisha au wanatusomea?!

    Kiufupi mwalimu anatakiwa kuelezea concept za sub topic alio jipanga kufundisha na si kusoma kitabu, ni changamoto sana hapo mfano Geo ya 4m 3 , inahitaj uwe deep vinginevyo utasoma kitabu kma kilivyo , ila ukiona watoto slow learners ni weng unaweza wafundisha kwa groups kuwasaidia. Sent using...
  2. smartj

    Uzi Maalum wa maswali na masuala mbalimbali yahusuyo Kodi, ushuru na masuala mengine yanayowahusu TRA

    Hahaha uyu nadhan ni mara ya kwanza kutuma mzigo Sent using Jamii Forums mobile app
  3. smartj

    COVID-19 na anguko la Shule za English Medium

    Si kosa kusomesha mtoto shule bora kama uwezo upo, mazingira ya shule za government ni vile hakuna namna nyingine ila si rafiki kwa elimu bora , mtoto anaingia darasa moja wako 130 unaweza vipi linganisha na wale wapo 45 had 35 ?,pia T.I.D unae msema kasoma Shabarn Robert Upanga fanya tafiti...
  4. smartj

    Nini kinapelekea mwanaume kuzaa na mwanamke zaidi ya 1 kisha kuoa mwanamke mwingine

    Maisha yana matukio mengi wala usishangae sana sidhan kama kuna mtu yuko na akili timamu anaweza fanya ilo jambo makusudi sometimes inabidi. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. smartj

    Ni ujinga kuponda watoto wa kishua: "Gari la baba yake; mimi nimejitafutia, yeye bila baba hawezi"

    Maisha ya shida yanadumaza had fikra mda wote unawaza negatives tu, si kosa kuzaliwa kwenye hela tupambane watoto wetu wasije kurithi shida . Sent using Jamii Forums mobile app
  6. smartj

    Sitosahau siku nimekoswa kukamatwa Polisi kisa tamaa za kimwili

    Kahama ivyo vitu hamna? Ila pole sana maana uwo ulevi ni hatarishi mno Sent using Jamii Forums mobile app
  7. smartj

    Mtoto wa dawa anavyosumbua wazazi

    Hahaaha Sent using Jamii Forums mobile app
  8. smartj

    Hivi madaktari na pharmacists wa Tanzania huwa wanasomea nini?

    Utafiti ni gharama mtu hawez tumia fedha zake binafsi kufanya mambo ya umma. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. smartj

    Hukumu dhidi yangu: Shukrani kwa watanzania – Maxence Melo

    Pole mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. smartj

    Na shahada yangu uniambie niuze maji barabarani?

    Nadhan bado unahis dunia inapaswa kukufanyia jambo flan ama kukupa maisha flani amka pambana bado mapema . Sent using Jamii Forums mobile app
  11. smartj

    DNA yaendelea kuleta balaa kwa wanandoa

    Uyo jamaa hajatumia mbinu sahihi ya adhabu kwa uyo mwanamke Sent using Jamii Forums mobile app
  12. smartj

    Kuanzia kazi kijijini kunaweza kuwa nafasi bingo ya maisha

    Embu tuo mfano wa vijiji vyenye nyumba maji na umeme kama si unaadika kma huijui Tanzania vizur , watu wanapangwa vijiji vya kusini mwa Tanzania yetu hii huduma za kijamii ni mbovu had wengine wanakufa kwa malaria kisa kukosa huduma kwa wakati. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. smartj

    I phone city ya Dar free market ni matapeli

    Umuhimu wa risit ndio kwenye mambo kama hayo , ungekuwa nayo ni rahis tu kuwabananisha pole sana.
  14. smartj

    Je, ni Mkoa upi wenye mzunguko mzuri kwa Saloon ya wanawake?

    Kahama, babat, dom ,karatu,arusha stand ndogo, dsm mwenge ,tegeta, kkoo,kinondon , survery njia ya UDSM competition utakutana nazo tu popote sababu biashara yako sio mpya. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. smartj

    Biashara mpaka barabarani, Mamlaka ziangalie madhara

    Ni kero sana hawa machinga Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom