illegal migrant
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 1,277
- 1,117
Ni ushauri tu wala sio lazima uufuate siku hizi kuna maduka mengi yanauza I phone.
mme wangu Alinunua simu pale na kama ujuavyo bei za I phone tangu amenunua imekuwa ikiharibika na kila tukiirudisha wanasema changia hela kidogo tukutengenezee.
Ukiwaeleza kuwa hii simu ina warranty wanakusumbua wanakwambia iache mpaka mzigo uje kutoka China na kwa sasa China kuna korona.
Hii ni tahadhari kama unataka kununua simu bila usumbufu, kwanza sijui wana operate vipi hawana Mashine ya risiti ya kielektroniki basi ni utapeli wizi wizi mtu
“buyers beware”
mme wangu Alinunua simu pale na kama ujuavyo bei za I phone tangu amenunua imekuwa ikiharibika na kila tukiirudisha wanasema changia hela kidogo tukutengenezee.
Ukiwaeleza kuwa hii simu ina warranty wanakusumbua wanakwambia iache mpaka mzigo uje kutoka China na kwa sasa China kuna korona.
Hii ni tahadhari kama unataka kununua simu bila usumbufu, kwanza sijui wana operate vipi hawana Mashine ya risiti ya kielektroniki basi ni utapeli wizi wizi mtu
“buyers beware”