Recent content by small mind

  1. S

    Marekani: Tanzania ni nchi inayoongoza katika masuala ya Usalama Afrika

    Mkuu,Kwa ninavowajua US army.....Hii sio dalili nzuri
  2. S

    Simu kutosoma H+, tatizo ni nini?

    zima washa.badili line weka tigo au ttcl
  3. S

    Je, Mgonjwa ana haki ya kujua jinsi dawa inavofanya kazi?

    Kuna hoja imeibuka hapa hasa baada ya mzigo wa chanjo kuwasili. Kwanza niseme tu kwamba iwapo chanjo ya COVID itakuwepo na nikapewa taarifa sahihi na fursa ya kuchanjwa na mimi mwenyewe nikawa na sababu na uwezo wa kwenda kuchanjwa basi nitaenda kuchanjwa. Hivo andiko hili halilengi kukebehi...
  4. S

    Nani Mmiliki wa AVIC Town Kigamboni

    Hizi ndo zilimpeleka Konda Boy Kigamboni?
  5. S

    Unaweza kuwa bilionea

    Kwa mujibu wa mwandishi, ukiona sio applicable maana yake wewe bado hujawa tayari kuwa bilionaire, endelea tu kutafuta hela ya kula.Ila ukiwaza kuwa bilionea hela ya kula haitakupiga chenga. Mtazamo wangu tu.
  6. S

    Mke wangu ananishangaza sana matendo yake...

    Mkuu,Mtazame mtoto kama anakuvutia na kukufanya ujione kama baba yake usihangaike.Ila kama unasababu za kutotaka awe mwanao basi tafuta sababu ili uweze kuwaacha.Cha muhimu juakwamba huyo wa kwanza ni wa kwako ila atakayefuata lazima utabambikiwa tu mtoto.
  7. S

    Amekuta Uchawi wa Kiarabu Nyumbani Kwake

    Duh.Alitaka kumwua jamaa
  8. S

    Amekuta Uchawi wa Kiarabu Nyumbani Kwake

    nami nimemweleza hivi
  9. S

    Amekuta Uchawi wa Kiarabu Nyumbani Kwake

    ugonjwa wa akili nao ni uchawi
Back
Top Bottom