Mke wangu ananishangaza sana matendo yake...

Mke wangu ananishangaza sana matendo yake...

Tatizo ni hizo stori za akina diamond. anyway ila kama anakuambia hivyo basi jua ipo hivyo, baba halisi wa mtoto anamjua mama
 
Mkuu ishakua tatizo Hilo .... Andaa hela ya dna mapema kujihakikishia ....coz Kimjaacho mtu ndo huongea
 
Kwanini unamuogopa mkeo ,wewe mwambie kwa kauli zako hizo za kutetea ushoga wa kina sandra mama dimond itabidi tukapime dna utaona majibu machoni pake kua mtoto ni wako au syo
 
Tuna mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi 3 , Tulibahatika kupata mtoto kabla ya kuoana yaani kipindi cha upenzi ndio kipindi ambacho alipata mimba na baadae akajifungua ndipo nikaamua nimsogeze tuwe familia moja....

Jambo linalo nishangaza sana ni kauli zake tata...kama mmnavyo jua kuwa mama diamond amesema ukweli kuwa diamond sio mtoto wa mzee abdul ..

Sisi tumekuwa na stori za kawaida zinazo husiana na tukio kubwa lililo fanywa na mama diamond
Kwenye stori tunazoziongelea mke wangu anasema kumpakazia mtoto mwanaume ni jambo la kawaida ....hili jambo amekuwa akilirudia mala kwa mala pia kuna wakati akasema mtoto anapewa Baba mwenye uwezo wa kulea haijalishi kama sio wakwake kikubwa ni mtoto aende mahali salama

Nikamuuliza kama utani vile "kama shida ni malezi ya mtoto kwanini mwanaume asiambiwe ukweli kwamba uyo mtoto sio wako ila nataka umlee " akanijibu hakuna mwanaume atakae kubali kabisa kwaiyo ni lazima ukweli ufichwe ili maisha yaendelee..

Sijamuonesha kuwa naanza kumuhisi vibaya ila kwakifupi anaonekana kuwatetea sana wanawake wanao wapakazia mwanaume watoto wasio wao ...

Ananifanya niache kujiamini juu ya huyu mtoto tulie nae na ananifanya nipunguze mapenzi kwa mtoto huyu....

Msaada wenu je ? Kuna uwezekano wa kupima DNA kwa siri bila yeye kutambua ..
Wakati huu kushikishwa mtoto sio wako ni kutaka mwenyewe, Nenda kwa Mwanasheria atakuandikia barua ya kuhakiki DNA, ni bora kufanya sasa kuliko kuingia gharama na uje kujua sio wakwako
 
Mkku ukitaka uishi muda mrefu duniani na kwa amani usiwe unafuatilia kila kitu kinachotoka mdomoni mwa mwanamke wala matendo yake.

Puuzia
 
Acha ujinga DNA imeshuka bei laki mbili kwa baba na mtoto...kama hio hela kubwa subir utumie mamilion kumlea
 
Hehehehe

Maneno tu hayo..hahahaha
 
Hahaahha Jomba... HULIKA YA MWANADAMU SIKU ZOTE NI KUTETEA NAKUSIMAMIA NAKUPIGIA KELELE KITU AMBACHO KINAMFAIDISHA YEYE PIA.

Ivo ukiona dem anatetea Uchepukaji. Ujue anatombwaa sana.


Ukiona Demu anatetea kutembea na waume za watu, ujue anatombwaa sana na waume za watu.


Kwa inshu kama yako kuna hayaa

[emoji117]Mtoto Sio wako.
[emoji117]Demu wako anachepuka.

Nini Ufanye ....


Wanawake ni wepesi sana, Kikubwa ni kucheza nao Akili , kwa kucheza na akili ya mwanamke, unaweza mgeuza geuza unavyotaka.


Siku mkiwa wote mmekaa ,labda mpo seblen au chumban, Jifanye simu yako inaita , kisha ongea haya maneno..

Naam Daktari, habari yako !! Muda ule tulikua hatuelewani, ila lengo kubwa nilitaka nijue gharama ya kufanya DNA pia unipe ufafanuzi wa hatua gani na wapi nann nifanye.


Alafu unaanza kuguna guna

Ndiooo, eeehh, sawasawa, mmmhhh ,aiseeee, kwahiyo majibu inachukua muda gan ?? Eeeehhh hahaha sawa Daktari, aaahhh maisha tu Ndugu. Siku hizi Dunia imeharibika hahhaa, hapanaaa Kaka, Aaahhh ni vitu tuu nahitaj kuviweka sawa.


[emoji117]HAKIKISHA HAYO MAZUNGUMZO ANAYASIKIAA, au UKIONA AMESHASIKIA UNAULIZIA DNA , unajifanya kamf unataka kutoka nje mtu asikusikie ...


Baada yahapo rudi ndani au kata simu...

ATAJILOPOKESHA MWENYEWE ...

Alafu utajimwaga nawee...Ndio nmeona nivema nikapime DNA na mtoto wangu, ili niwe nauhakika na dam yangu.


Alafu kama unaakili.ile reaction yake, ukiichunguza itakupa majibu

Anaweza kua mkali, kwahiyooo unaona mtoto sio wako. Kwahiyoo nin kwahiyoo mimj malaya ohoooo nini


Au akajifanya kulia lia (KAMWE USIHADAIKE NA MACHOZI YA MWANAMKE) hiiii hiii aaahh hiiii leo mimi unaniona malayaa, ohoooo hiioo nashukuru sanaaaa ahhhh hiiiii sawaaa tuuu haaaa


WEE KOMAA PALE PALE, LAZIMA NIENDE KUPIMA DNA NA MTOTO .



[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]SIKILIZA MKUU, MWANAMKE ANAYEJIAMIN SIKU ZOTE , ATAKUAMBIA " HUYO HAPO KESHO MKAPIME HIYO DNA YENU"


ILA KAMA HAJIAMIN HAHAHAHAH, ATAANZA MBWEMBWE NYINGIII MARA ALIEE, MARA AWE MKALI...yaan nikama Demu anayejijua ana ngoma.
 
Asilimia ni kubwa sana kuwa huyo mtoto ni wako. Sema hao wanaokuja wa pili au wa tatu wanaweza wasiwe wako au mmoja asiwe wako.

Kwann nasema hivi?:

Huyo mwanamke kwann akudanganye kuwa mtoto ni wako kisha akupe sababu za kumhisi vibaya? Anajiamini hivyo haogopi kukamatwa otherwise angemponda sana huyo mama aliyebambikiza mtoto.

Limtokalo mtu ndio linalojaza moyo wake, maneno huumba. Possibility ya kukupa mtoto asiye wako hapo mbeleni ipo.

ANGALIZO: KUNA WANAUME AMBAO MWANAMKE HUWAONA NI MABWEGE KIASI CHA KUAMBIWA KAMA ULIVYOAMBIWA NA KWELI MTOTO AKAWA SI WAKE.
 
Kwamba akimuoa akiwa bikra ndio hayo mawazo ataacha?
Dude a broken woman is broken. Akishanazwa ujinga na wenzeka huko saloon ijalishi ni bikra au lah.

Hiyo ndio mind set yake. No changes hata kama angekuwa bikra.
Kuna wanawake waliolewa wakiwa mabikira,walikuja kuharibikia ndani ya ndoa,
Kwa sababu ya tamaa,marafiki au kampani mbaya.
Hi dunia haiko tambarale.
Tena wengine kuwa Malaya kabisa.
 
Tuna mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi 3 , Tulibahatika kupata mtoto kabla ya kuoana yaani kipindi cha upenzi ndio kipindi ambacho alipata mimba na baadae akajifungua ndipo nikaamua nimsogeze tuwe familia moja....

Jambo linalo nishangaza sana ni kauli zake tata...kama mmnavyo jua kuwa mama diamond amesema ukweli kuwa diamond sio mtoto wa mzee abdul ..

Sisi tumekuwa na stori za kawaida zinazo husiana na tukio kubwa lililo fanywa na mama diamond
Kwenye stori tunazoziongelea mke wangu anasema kumpakazia mtoto mwanaume ni jambo la kawaida ....hili jambo amekuwa akilirudia mala kwa mala pia kuna wakati akasema mtoto anapewa Baba mwenye uwezo wa kulea haijalishi kama sio wakwake kikubwa ni mtoto aende mahali salama

Nikamuuliza kama utani vile "kama shida ni malezi ya mtoto kwanini mwanaume asiambiwe ukweli kwamba uyo mtoto sio wako ila nataka umlee " akanijibu hakuna mwanaume atakae kubali kabisa kwaiyo ni lazima ukweli ufichwe ili maisha yaendelee..

Sijamuonesha kuwa naanza kumuhisi vibaya ila kwakifupi anaonekana kuwatetea sana wanawake wanao wapakazia mwanaume watoto wasio wao ...

Ananifanya niache kujiamini juu ya huyu mtoto tulie nae na ananifanya nipunguze mapenzi kwa mtoto huyu....

Msaada wenu je ? Kuna uwezekano wa kupima DNA kwa siri bila yeye kutambua ..
Mkuu,Mtazame mtoto kama anakuvutia na kukufanya ujione kama baba yake usihangaike.Ila kama unasababu za kutotaka awe mwanao basi tafuta sababu ili uweze kuwaacha.Cha muhimu juakwamba huyo wa kwanza ni wa kwako ila atakayefuata lazima utabambikiwa tu mtoto.
 
Kuna wanawake waliolewa wakiwa mabikira,walikuja kuharibikia ndani ya ndoa,
Kwa sababu ya tamaa,marafiki au kampani mbaya.
Hi dunia haiko tambarale.
Tena wengine kuwa Malaya kabisa.
Thats my point man. Watu wanashadadia bikra as if hiyo ndio itamtuliza mwanamke kwenye ndoa. Well bad news.. mwanamke labda aamue kutulia mwenyewe
 
Mara nyingine kufanana na mtoto ni mentality unayojijengea ukiwa unaimani tangu mwanzo ni wako.Sasa hivi kwa kauli za mkeo unahisi sio wako,ila inawezekana ni wako.Nakupa mfano ,watoto waliozaliwa leo hii kama 20 mloganzila wasipowekewa lebo wakawekwa chumba kimoja wote kila familia iambiwe wakachague mtoto wao, je wataweza?
20 ni wengi sana mzee baba, hata wakiwa wawili tu wenye uzito unaokribiana huwezi jua wako ni yupi!
 
Muulize "kwa hiyo na wewe unaweza kuniletea mtoto asiye damu yangu? Au na huyu nae umeniletea?" Afu mwambie kama vipi tukapime
 
Back
Top Bottom