Mm kinachoniuma kuwa leo ni jpili na hakuna mtu hata mmoja aliyejitokeza kumtukana gwajima sasa sijui mahubili ya leo kama yatakuwa na mvuto, bora mtu ajitokeze hata leo kwani bado ni mapema
Mambo ya mochwari tuyaache kama yalivyo maana hayafai hata kidogo na km unataka kujua mengi nenda kamuone muoshaji akusimulie kikubwa uwe mvumilivu ili usije ukatoka nduki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.