Recent content by smakuru

  1. smakuru

    Paul Makonda kidedea TAHLISO awabwaga marais UDSM, UDOM.....

    Mm kinachoniuma kuwa leo ni jpili na hakuna mtu hata mmoja aliyejitokeza kumtukana gwajima sasa sijui mahubili ya leo kama yatakuwa na mvuto, bora mtu ajitokeze hata leo kwani bado ni mapema
  2. smakuru

    nimezini na mke wa mtu

    Sawa jisifie kula mke wa MTU na wewe ujue malipo ni hapa hapa duniani na wewe wako ataliwa tu
  3. smakuru

    Vituko vya mochwari

    Mambo ya mochwari tuyaache kama yalivyo maana hayafai hata kidogo na km unataka kujua mengi nenda kamuone muoshaji akusimulie kikubwa uwe mvumilivu ili usije ukatoka nduki
  4. smakuru

    Mzunguko wa dunia katika mhimili wake

    Hii mada tamu sana ingawa mnaigusa kidogo na kuiachia hewani
  5. smakuru

    Tujuzane zaidi kuhusu nchi ya Ethiopia

    Tusimkatishe tamaa kiasi hicho hana nia mbali ila ameomba kujua mengi kuhusu Ethiopia
  6. smakuru

    Wanaume wenzangu someni hiki kisa cha ukweli mpate kujifunza kitu ndani yake

    R.I.P kafa kishujaa jamaa, pia alikuwa jasiri sana mpaka kuwa na nguvu za kuwaita wazazi wake, mm ningetoka nduki kwelekea pasipojulikana
  7. smakuru

    Polisi wamkamata Gwajima tena. Afanyiwa upekuzi upya na kuachiwa

    Kesho atatuambia sababu ya kukamatwa kwake kwani mchungaji wetu hana siri
Back
Top Bottom