Tujuzane zaidi kuhusu nchi ya Ethiopia

Tujuzane zaidi kuhusu nchi ya Ethiopia

Dah.... Pia inawarembo wa kutosha.....na ni wakarimu sana.... Walinichanganya Sana...
 
Ethiopia ndio nchi ilowa offer Rastafarians toka Jamaica eneo kubwa la ardhi na kuwapa bure waishi,. Mfalme Suleiman alizaa na queen of sheba ndio ukatokea uzao wa waisrael weusi wakijulikana kama mafalashas.. kuna mwaka isreal iliamua kuchukua waisrael weusi toka Ethiopia.. la mwisho ukorofi wote wa msomali break yake ni muethiopia..msomali hasimami kabisa kwa muethiopia!!
 
Tusimkatishe tamaa kiasi hicho hana nia mbali ila ameomba kujua mengi kuhusu Ethiopia
 
Mabaki mengi ya kitabu kitakatifu Biblia yalipatikana huko na michoro pia, Inaaminika Haile Selesssia alikuwa na birth line ya mfalme Selemani. Hawa watu ni entrepreneur wazuri na ni kitu cha kujifunza kutoka kwao! Ukifika Washington DC karibu 50% za paying parking lot owners ni Ethiopians, alafu wana own clubs nyingi kwa mfano Zanzibar Club ambayo nayo ipo DC, kwa kweli wanejipanga vizuri kwenye biashara! Ukienda kwenye Gentleman Clubs wanawake wao ndiyo wengi kwa sababu ya sura zao zilivyo nzuri!
Ninavyojua Eritrea na Ethiopia ni mtu na ndugu yake waligombana wakaamua kila mtu achukue 50 zake!
 
Mtu kaleta uzi wa kuelimisha lakini kwa vile wabongo machizi wengi wanamnanga., angewakea habari za wema sepetu au diamond uzi ungekuwa umesheheni balaa..shule za kata zimeiharibu hii nchi Ngosha endelea kuwanyoosha hawa wavivu wa fikra na kila kitu.
Mi mwenyewe nimeshangaa kwakweli
 
Nahisi hivyo hata mimi hata vitabu vya Biblia kuna Watu wametajwa kutoka Ethiopia hata miaka yao ni tofauti na yetu mwaka mpya hatuli pamoja,Na vipi kuhusu imani ya rastafarii watu kama kina culture ukiangalia wafalme wao walikua marasta.
Si wanasema haile selasie ni bloodline ya suleiman mfalme wa israel. Si wajua miaka kama 3 nyuma waethiopia kama 800 walirudisha israel maana ndio kwao kiasili sema ndio wanabaguliwa ile mbaya huko. And pia lile sanduku la agano lipo huko i think
 
Tukiwa tumepokea ugeni wa Waziri Mkuu wa Ethiopia sio mbaya sana leo tukipeana maarifa zaidi kuhusu nchi hii iliyopo pembezoni(horn) mwa Afrika kwani naona kama ina historia nzuri sana kuanzia enzi za kikoloni mpaka Leo.

Kwa uelewa wangu mdogo najua mji wake Mkuu Unaitwa Adis Ababa, imewahi kuwa na wafalme maarufu kama vile Menelik na Haile Selasie.

Ni kati ya nchi ambazo hazikutaliwa na Wakoloni pamoja na Liberia kama nlivyomsikia Rais wetu Leo katika hotuba yake ya Kumkaribisha Mgeni wake, na pia mwl wangu wa Historia aliniambia sababu kuwa Ethiopia ina asili ya milima yenye mawe makubwa hivyo walikua wakiwaporomoshea wazungu hayo mawe, Wakoloni wenyewe nasikia walikua Waitaliano.

Kwa kifupi ni hayo nawe unakaribishwa zaidi kutujuza kuhusu nchi ya Ethiopia.

Karibuni.
Asante Mkuu . Pia Ethiopia ina wanawake wazuri sana yaani sana
 
Mabaki mengi ya kitabu kitakatifu Biblia yalipatikana huko na michoro pia, Inaaminika Haile Selesssia alikuwa na birth line ya mfalme Selemani. Hawa watu ni entrepreneur wazuri na ni kitu cha kujifunza kutoka kwao! Ukifika Washington DC karibu 50% za paying parking lot owners ni Ethiopians, alafu wana own clubs nyingi kwa mfano Zanzibar Club ambayo nayo ipo DC, kwa kweli wanejipanga vizuri kwenye biashara! Ukienda kwenye Gentleman Clubs wanawake wao ndiyo wengi kwa sababu ya sura zao zilivyo nzuri!
Ninavyojua Eritrea na Ethiopia ni mtu na ndugu yake waligombana wakaamua kila mtu achukue 50 zake!
Kuna Mistari ya Biblia inasema nitawainua watu wa Kushi na Seba...Hawa wanatamaduni zinazofanana na Israeli Waziri mkuu wa Israel alivyofanya ziara yake Ethiopia alitoa pendekezo la kuwarudisha Israeli waethiopia wote wenye Asili ya Israeli. REFER KUSHI EMPIRE
 
Na kwao iwe jua iwe mvua huwezi sikia kelele za njaa tena. Hawategemei mvua kulima wana Irrigation sytem nzuri balaa kutokea Nile. Sisi tuna victoria.nyassa.tanganyika etc but mvua ikigoma kidogo.tu tanalia balaa
 
Tukiwa tumepokea ugeni wa Waziri Mkuu wa Ethiopia sio mbaya sana leo tukipeana maarifa zaidi kuhusu nchi hii iliyopo pembezoni(horn) mwa Afrika kwani naona kama ina historia nzuri sana kuanzia enzi za kikoloni mpaka Leo.

Kwa uelewa wangu mdogo najua mji wake Mkuu Unaitwa Adis Ababa, imewahi kuwa na wafalme maarufu kama vile Menelik na Haile Selasie.

Ni kati ya nchi ambazo hazikutaliwa na Wakoloni pamoja na Liberia kama nlivyomsikia Rais wetu Leo katika hotuba yake ya Kumkaribisha Mgeni wake, na pia mwl wangu wa Historia aliniambia sababu kuwa Ethiopia ina asili ya milima yenye mawe makubwa hivyo walikua wakiwaporomoshea wazungu hayo mawe, Wakoloni wenyewe nasikia walikua Waitaliano.

Kwa kifupi ni hayo nawe unakaribishwa zaidi kutujuza kuhusu nchi ya Ethiopia.

Karibuni.
Imetawaliwa na madikiteita mwanzo mwisho!
 
Mabaki mengi ya kitabu kitakatifu Biblia yalipatikana huko na michoro pia, Inaaminika Haile Selesssia alikuwa na birth line ya mfalme Selemani. Hawa watu ni entrepreneur wazuri na ni kitu cha kujifunza kutoka kwao! Ukifika Washington DC karibu 50% za paying parking lot owners ni Ethiopians, alafu wana own clubs nyingi kwa mfano Zanzibar Club ambayo nayo ipo DC, kwa kweli wanejipanga vizuri kwenye biashara! Ukienda kwenye Gentleman Clubs wanawake wao ndiyo wengi kwa sababu ya sura zao zilivyo nzuri!
Ninavyojua Eritrea na Ethiopia ni mtu na ndugu yake waligombana wakaamua kila mtu achukue 50 zake!
Wamewahi kurushiana Mizinga na Eritea Kisa mipaka kama India na Paskitani tu walivyokua wakigombania jimbo la kashmir
 
Wana njaa sana
Asilimia kubwa ya wananchi wake ni Wafugaji na Pia inashambuliwa na Ukame sana zile nchi zote za pembe ya Afrika DJIBOUTI,ERITEA,SOMALIA Wanashambuliwa na Ukame sana hawapati mvua za kutosha
 
Ameongea vitu vya msingi sana anza na utalii,Umeme,Viwanda vya bidhaa za Mifugo hasa Ngombe, amepromote Lugha yetu ya kiswahili so ameongea kiswahili tu
tutakula kiswahili, nonsense masikini kukutana, sana sana kuongeza umasikini na udikiteita
 
Imetawaliwa na madikiteita mwanzo mwisho!
Nafikiri huku kwetu bila kuchanganya na udikteta kidogo maendeleo utayasikia kwenye Bomba kama wameweza kujenga Reli ya Kisasa kutoka Adis Ababa to Djibouti hongera zao sisi Kila siku tuko huru hata reli ya uhuru tumeshindwa kuiendesha
 
Na kwao iwe jua iwe mvua huwezi sikia kelele za njaa tena. Hawategemei mvua kulima wana Irrigation sytem nzuri balaa kutokea Nile. Sisi tuna victoria.nyassa.tanganyika etc but mvua ikigoma kidogo.tu tanalia balaa
Pamoja na Egypt kupiga biti matumizi ya maji ya mto Nile ila hawa wenzetu wanayatumia vizuri Wanaumeme Wa kutosha nchini Mwao na kutugawia sisi na ukabaki tenaa
 
Nafikiri huku kwetu bila kuchanganya na udikteta kidogo maendeleo utayasikia kwenye Bomba kama wameweza kujenga Reli ya Kisasa kutoka Adis Ababa to Djibouti hongera zao sisi Kila siku tuko huru hata reli ya uhuru tumeshindwa kuiendesha
hujafikiwa ndio maana unautukuza udikiteita, au unanufaika na udikiteita ndio maana unasema hivyo. Ukikuta wazazi wako wamechinjwa vichwa ndio utajua maana ya udikiteita, unajisemea tu!
 
Back
Top Bottom