Recent content by slym

  1. S

    Picnic ya wanajamiforums

    na mie niweke, im interested
  2. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    samahani ya nini wakati unasema tunamsingizia, kwa hiyo sisi na akili zetu tumsingizie huyo Martha kuwa anaongea vibaya?? tena unazidi kunikera, maana wewe unaejibu ni huyo martha. Huna unalolijua wewe, stress za nyumbani kwako unatuletea sisi? msonyoooo, tutaenda kwa Blandina Nyoni tuu.mfyuuuu
  3. S

    Natafuta MKE wa kufunga nae Ndoa

    jamani njoo kwangu hubby mbona ushapata mke tayari, karibu darling:cool2:
  4. S

    Form six uliza hapa jambo lolote kuhusu UDSM

    je kama mtu kapata div iii ya 13, Physics D, Chemistry D, Biology B, BAM B ana weza ingia chuo kikuu kweli? alikuwa anachukuwa PCB. Na Course gani inamfaa?
  5. S

    Kama ntaweza kupata chuo na hizi marks zangu

    Hivi mtu akipata G/studies D, Phyisics D, Chemistry D, Biology B, BAM B amepata div. iii ya 13 na alikuwa anachukua PCB hii anaenda course gani?
  6. S

    Kama ntaweza kupata chuo na hizi marks zangu

    mimi mwenyewe nimemshangaa, kashfa nyingi baba mtu mzima, kumbe yeye ndio hajui hata mabadiliko yaliyotokea nchini mwake, sasa hapo una usomi gani ndugu yangu, khaaaa!
  7. S

    Vodacom + HESLB

    Hawa Bodi ya Mikopo kama wanasoma huku tafadhali rekebisheni system yenu, inasumbua sana, na number ya simu mliyoweka haipatikani. Aactually mmeweka number moja tuu ambayo ni +255 22 550 7910, hiyo number inapigwa na Tanzania nzima haipatikani kabisa, tukija ofisini kwenu, mlinzi anakwambia...
  8. S

    Kujisajili na bodi ya mikopo

    Hawa Bodi ya Mikopo kama wanasoma huku tafadhali rekebisheni system yenu, inasumbua sana, na number ya simu mliyoweka haipatikani. Aactually mmeweka number moja tuu ambayo ni +255 22 550 7910, hiyo number inapigwa na Tanzania nzima haipatikani kabisa, tukija ofisini kwenu, mlinzi anakwambia...
  9. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    jibu swali umeacha nyodo zako au bado unazo? unamajibu ya kunya sana, umekosa watu sasa hivi umekuwa mpole.
  10. S

    SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

    Yule mama aliopo pale Benjamin Mkapa mmeshambadilisha au bado yupo yule yule? anaongea vibaya sana mwambie aache majibu mabaya kama anafanya kazi ya mungu kweli!! anaongea vibaya ukimuuliza kitu anakukatia simu na hakujibu.
  11. S

    Unahitaji apartment?

    Usichukie mkuu, achana nae huyo, tuambie bei mkuu labda tutaweza bei na sie tuje kuishi huko kwenye upepo mwanana.
  12. S

    Natafuta mwanamke aliyeachika na mwenye watoto

    nipo hapa karibu tuongee
  13. S

    JK ashaozesha mwanae, tegemeeni baraza jipya Next week

    anaitwa Alma Hassan Mshinda
  14. S

    JK ashaozesha mwanae, tegemeeni baraza jipya Next week

    Miraji Kikwete kamuoa mtoto wa Dr. Hassan Mshinda mkurugenzi mkuu wa COSTECH pale jengo la Sayansi.
  15. S

    JF PARTY 2014 January 25 Ndani ya Kebbys!!!!!!! Nani Ana P.O.BOX MMU! UMELIPAAAAAAAAAAAA?

    mimi mwenyewe natafuta wa kunilipia, mseme ni sehemu gani yafanyikia jamani
Back
Top Bottom