asante kwa majib mazuri, Je mtu anayetoa risiti kwa machine ya EFD yupo subject na ile asilimia 18% incase kwamba yye siyo vat registered?
Kama jibu ni ndio nauza product ya faida 3000 yenye faida ya 300/= na nikitumia EFD 3000*18% ntatozwa 540/= je imekaaje kwa upande wa mlipa kodi?
Mkuu Nyumbalao je nikiuza kwa mkopo itanihitaji nitoe risiti?
Ikiwa jib ni ndio je ikitokea mteja akashindwa kulipa na akawa hana uwezo wakulipa (bad debts) je nitafanyaje?
Hii kodi inayokatwa katika mashine ya EFD inauhusiano gani na inayotozwa katika faida ya makampuni?
Mtoto wa kiume akiwa na mambo kama ya mtoto wa kike ananiuzi
sasa utajiri wa mtu wwe unakuuzi na nini kila mtu afanye yake yaliomleta duniani
kama wwe umekuja kushangaa maghorofa ya watu endelea kushangaa...
mkuu umeshindwa kabisa kuitrace ile page imekaa kimamluki kabsa ukiangalia hata history yake ilivyo imekaa kitapeli yaani mwenye ile page kaja kuzinduka 2018 na lile tangazo 2017 ilikuwa haitumiwi kabsa
Pole mpendwa kwa usumbufu uliopata, makato kwa mwenzi ni Tshs 1888 kwa akaunti inayoendeshwa kwa sarafu ya Tanzania mfano akaunti ya akiba, mwanafunzi.
Makato kwa njia ya simbanking kuangalia salio ni shs 354 na kutoa pesa kuanzia 0 -- 200,000 ni shs 2594 inapanda kulingana na kiasi unachotoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.