Recent content by slaqwe

  1. slaqwe

    Kwani kuolewa ni jambo kubwa sana?

    kila MTU na kipaombele chake kulingana na wakati
  2. slaqwe

    Naolewa ila nimeamua kufanya revenge kwa maex zangu

    wote hao! na unavyoonekana bado utakuwa na safar nyingine inayofanana na ulikotoka usipokuwa makini
  3. slaqwe

    Nikifanya sex na mwanamme ninayempenda nakuwa wet muda wote!

    ni hali ya kawaida kbs hasa kwa mtu ambaye unahisia nae shaka ondoa
  4. slaqwe

    Je wanaume kama hawa bado wapo???

    hakuna hiyo, ukimwacha utasikia sijui yule mkaka hasimamishi, dawa ni kula tu hakuna nyingine
  5. slaqwe

    Wanaume wa karne hii mmekumbwa na nini?

    alikusoma akakuelewa vizuri kuwa ulikuwa humpendi na ulitaka kumpiga mizinga tu akastuka na kukugeuzia kibao ww
  6. slaqwe

    Mwanamke isome hii utajifunza kitu

    mawazo mazuri ya kujenga kupitia hii stori , hongera sana
  7. slaqwe

    Nahitaji Boyfriend toka JF awe na Sifa hizi

    umesahau hii, awe mpole na mcha mungu hahahahaha!
  8. slaqwe

    Wanaume kwanini mkimaliza kusex lazima mumuangalie babu?

    nikuangalia kama imeisha au laa baada ya msuguano mkali na mwenzake
  9. slaqwe

    Ninaye ila sipati kitu!

    dah, miaka miwili hakupi mzigo! si bure mchunguze vizuri atakuwa na msela anakula hiyo kitu yake
  10. slaqwe

    JF imetaka kunipeperushia njiwa wangu

    na hii ameshasoma
  11. slaqwe

    Kinachonikera Mimi mwanamke ni mitongozo ya asubuhi

    hakuna MUDA maaluma wa kutongoza, hiyo ni SAA, dakika na sekunde yeyote, ila huko kwenye zawadi mhhhhh kukubaliwa kwa wingi WA zawadi doh!
  12. slaqwe

    Nahitaji kufahamu kisima cha maji baridi (yaani maji yasiyokuwa na chumvi) huwa kinapatikanaje..?

    hii mada nzur sana inaleta uelewa hasa kwa kuwa maeneo mengi ktk nchi yetu n maji yake ni chumvi
  13. slaqwe

    Sababu kwa nini nataka kuachana Nae

    Mara nyingi mawasiliano hafifu huchangia kuvunjika kwa mahusiano, ila swali ni kwamba nn kinasababisha mawasiliano hafifu? pengine ana MTU mwingine anaempenda kuliko ww na ww kuwa tu wakutimiza mahitaji yake
  14. slaqwe

    Hili jibaba halina aibu!!!

    duuhhhh huyo jamaa anauza sehemu ya kutolea upepo na haja itakuwa, anatutia aibu kwa kweli
Back
Top Bottom