Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Kila jambo ni 'Kubwa' na pia ni 'Dogo' katika maisha ya mtu.
Inategemea limepewa nafasi gani katika fikra zake.









Kila jambo ni 'Kubwa' na pia ni 'Dogo' katika maisha ya mtu.
Inategemea limepewa nafasi gani katika fikra zake.









Mimi naona ni kitu cha kawaida. Mtu kama ameolewa ni sawa na kama hukuolewa ni sawa na haina haja kupanic ati umri unaenda huolewi.
Ndoa ni kama vitu vingine tu chukulia mfano umasikini na utajiri. Si watu wote ni matajiri na si watu wote ni masikini. Na ndoa ndio ipo ivo si kla mtu atakuwa nayo.
Mimi naishi na dada mmoja tuasoma chuo kimoja ni roommate wangu. Ila yeye ni doctoral student mwaka wa pili. Ni raia wa marekani. Ni mtu mzuri ila kama hayuko sawa kisa mpk sasa ana miaka 31 hajaolewa. Hapa chuo kunakuwa na seminars mbali mbali basi kila seminar anaenda ati anaweza kupata mume hko 😂 kwa wiki anaenda km seminar tano au nne. Hatulii sehem moja. Haijalishi inafanyika wapi yeye huyoo anaenda 😂 hadi mama yke anampigia simu ati "uende unaweza ukapata mume hko. Tena ukienda uwe smart na ujirembe" 😁
Kuna siku nime muuuliza kwann ameweka sana kwa kichwa chake habar ya kuolewa akanijibu " wewe Subiri ufike umri kama wangu halafu uwe hujaolewa utajua" LOL
Kuna siku alinilazimisha tuende wote nikaenda baada ya hapo sikuenda tena kwasababu sio mambo naendana nayo. mimi nani seminar nani? Vitu vi2 tofauti. Hatuendani 😂 mimi niliona hakuna kitu cha maana kinafanyika hko. Wanaongea tu kisha wamemaliza tukaondoka 😂 hazina hata umuhimu kupoteza muda tu.
Hv kna haja ya mtu kujistress kisa huolewi? Mimi naona kama ni ujinga kujistress na kitu ambacho kiko nje ya uwezo wako, maisha yenyewe mafupi haya 😂 btw mimi mwenyewe nategemea nikifika miaka 25 niwe na familia yangu lakini hata kama itatokea nikifika miaka 30 bla kuolewa siwezi kujistress hata kidogo.
MWANAMKE YEYOTE AKITAKA AOLEWE MAPEMA KABLA HATA YA 30 AGE ANATAKIWA AFANYE VITU VIFUATAVYO;
1. Awe anajistiri
2.Awe anajishughulisha na biashara maana wadada wengi hupenda hela ambazo si za jasho Lao hivyo wengi huishia kulambwa tu. Kwa hiyo kupitia pesa ataweza jikimu Mwenyewe bila ya kutegemea mwanaume.
3. Awe mchamungu na awe anamuomba muumba wake ampatie mume aliebora.
4.Awe mpole, mkarimu na Mwenye haya sio kila kukicha na kigulu na njia kujipitisha kwa wanaume ili uolewe.
5. Asijirahisishe na ngono.
6.wala asipende asiekua wa level yake au mfanano wake.
NB: Natumaini nimeeleweka ahsanteni niwatakie weekend njema.
You have said it all. Mtu analala hovyo na wanaume,analala mpaka na mabosi wake ,na watu ofisini na mtaani wanajua halafu eti anasubiri kuolewa. Wakishalala na wewe, men talk,waoaji wanaogopa!MWANAMKE YEYOTE AKITAKA AOLEWE MAPEMA KABLA HATA YA 30 AGE ANATAKIWA AFANYE VITU VIFUATAVYO;
1. Awe anajistiri
2.Awe anajishughulisha na biashara maana wadada wengi hupenda hela ambazo si za jasho Lao hivyo wengi huishia kulambwa tu. Kwa hiyo kupitia pesa ataweza jikimu Mwenyewe bila ya kutegemea mwanaume.
3. Awe mchamungu na awe anamuomba muumba wake ampatie mume aliebora.
4.Awe mpole, mkarimu na Mwenye haya sio kila kukicha na kigulu na njia kujipitisha kwa wanaume ili uolewe.
5. Asijirahisishe na ngono.
6.wala asipende asiekua wa level yake au mfanano wake.
NB: Natumaini nimeeleweka ahsanteni niwatakie weekend njema.
Jawabu murua hili!Kila jambo ni 'Kubwa' na pia ni 'Dogo' katika maisha ya mtu.
Inategemea limepewa nafasi gani katika fikra zake.
Mkuu acha kumlisha matango pori mwenzioUkiwa una mtu unafanyanae sex, hakuna haja yakusema hujaolewa,,
Within 3months tu serikali inahesabu tayari hiyo ni ndoa.
Mwanamke akiwa ameolewa inamuongezea HESHIMA...Ebu fikiria upo above 30 bado unakaa kwenu hauoni aibu m/ke?
Inaonekana wewe ni mtoto badoMimi siwezi kufika umri wake bila kuolewa na hta kama nikifika siwezi kuwa stressed.
Nina above 30 sijaolewa na nipo kwangu siyo nyumbaniMwanamke akiwa ameolewa inamuongezea HESHIMA...Ebu fikiria upo above 30 bado unakaa kwenu hauoni aibu m/ke?
utaokoteza wanaume hadi lini?Kwan wasioolewa hawasex?
Angalia wewe sisi ndio wataalamu,elewa tu!!Wote ambao hawajaolewa wanakaa kwao? Mnaenda shule gani kusomea ujinga