Kwani kuolewa ni jambo kubwa sana?

Kwani kuolewa ni jambo kubwa sana?

MWANAMKE YEYOTE AKITAKA AOLEWE MAPEMA KABLA HATA YA 30 AGE ANATAKIWA AFANYE VITU VIFUATAVYO;
1. Awe anajistiri
2.Awe anajishughulisha na biashara maana wadada wengi hupenda hela ambazo si za jasho Lao hivyo wengi huishia kulambwa tu. Kwa hiyo kupitia pesa ataweza jikimu Mwenyewe bila ya kutegemea mwanaume.
3. Awe mchamungu na awe anamuomba muumba wake ampatie mume aliebora.
4.Awe mpole, mkarimu na Mwenye haya sio kila kukicha na kigulu na njia kujipitisha kwa wanaume ili uolewe.
5. Asijirahisishe na ngono.
6.wala asipende asiekua wa level yake au mfanano wake.


NB: Natumaini nimeeleweka ahsanteni niwatakie weekend njema.
 
Mimi naona ni kitu cha kawaida. Mtu kama ameolewa ni sawa na kama hukuolewa ni sawa na haina haja kupanic ati umri unaenda huolewi.

Ndoa ni kama vitu vingine tu chukulia mfano umasikini na utajiri. Si watu wote ni matajiri na si watu wote ni masikini. Na ndoa ndio ipo ivo si kla mtu atakuwa nayo.

Mimi naishi na dada mmoja tuasoma chuo kimoja ni roommate wangu. Ila yeye ni doctoral student mwaka wa pili. Ni raia wa marekani. Ni mtu mzuri ila kama hayuko sawa kisa mpk sasa ana miaka 31 hajaolewa. Hapa chuo kunakuwa na seminars mbali mbali basi kila seminar anaenda ati anaweza kupata mume hko 😂 kwa wiki anaenda km seminar tano au nne. Hatulii sehem moja. Haijalishi inafanyika wapi yeye huyoo anaenda 😂 hadi mama yke anampigia simu ati "uende unaweza ukapata mume hko. Tena ukienda uwe smart na ujirembe" 😁

Kuna siku nime muuuliza kwann ameweka sana kwa kichwa chake habar ya kuolewa akanijibu " wewe Subiri ufike umri kama wangu halafu uwe hujaolewa utajua" LOL

Kuna siku alinilazimisha tuende wote nikaenda baada ya hapo sikuenda tena kwasababu sio mambo naendana nayo. mimi nani seminar nani? Vitu vi2 tofauti. Hatuendani 😂 mimi niliona hakuna kitu cha maana kinafanyika hko. Wanaongea tu kisha wamemaliza tukaondoka 😂 hazina hata umuhimu kupoteza muda tu.

Hv kna haja ya mtu kujistress kisa huolewi? Mimi naona kama ni ujinga kujistress na kitu ambacho kiko nje ya uwezo wako, maisha yenyewe mafupi haya 😂 btw mimi mwenyewe nategemea nikifika miaka 25 niwe na familia yangu lakini hata kama itatokea nikifika miaka 30 bla kuolewa siwezi kujistress hata kidogo.

hahahaaaaaaaaaaaaaaa kama nakuona ulivyo boreka ulivyoenda kwenye hio seminar... 😁 😁 😁 😁 😁 😁
 
MWANAMKE YEYOTE AKITAKA AOLEWE MAPEMA KABLA HATA YA 30 AGE ANATAKIWA AFANYE VITU VIFUATAVYO;
1. Awe anajistiri
2.Awe anajishughulisha na biashara maana wadada wengi hupenda hela ambazo si za jasho Lao hivyo wengi huishia kulambwa tu. Kwa hiyo kupitia pesa ataweza jikimu Mwenyewe bila ya kutegemea mwanaume.
3. Awe mchamungu na awe anamuomba muumba wake ampatie mume aliebora.
4.Awe mpole, mkarimu na Mwenye haya sio kila kukicha na kigulu na njia kujipitisha kwa wanaume ili uolewe.
5. Asijirahisishe na ngono.
6.wala asipende asiekua wa level yake au mfanano wake.


NB: Natumaini nimeeleweka ahsanteni niwatakie weekend njema.

tumekuelewa ndugu mjumbe, hivi kinyume cha mabaharia ni nini?LOL
 

Siongezi neno,wakati ukiendelea kujifariji soma na hapa but ninachoamini mimi 99.01% ya wanawake wanaojitambua sawasawa vichwani mwao wanatamani na wanaamini kuwa na familia stable,ile mtoto anaamka asubuhi anamwamkia baba na mama,akiaga kwenda shule anawaaga baba na mama usiku akienda kulala anawaaga tena baba na mama siyo mtoto aamke asubuhi mama alirudi usiku kutoka alikotoka macho yamemjaa usingizi na pombe haelewi hata aliyesimama mbele yake ni mwanae au siku akiulizwa mama baba yuko wapi amdanganye alikufa kumbe yupo hai.

Upo wakati utafika na kama utakuwa bado hai lazima utafika hapo ndipo utakapoelewa kwanini huyo rafiki yako anaweweseka.
 
MWANAMKE YEYOTE AKITAKA AOLEWE MAPEMA KABLA HATA YA 30 AGE ANATAKIWA AFANYE VITU VIFUATAVYO;
1. Awe anajistiri
2.Awe anajishughulisha na biashara maana wadada wengi hupenda hela ambazo si za jasho Lao hivyo wengi huishia kulambwa tu. Kwa hiyo kupitia pesa ataweza jikimu Mwenyewe bila ya kutegemea mwanaume.
3. Awe mchamungu na awe anamuomba muumba wake ampatie mume aliebora.
4.Awe mpole, mkarimu na Mwenye haya sio kila kukicha na kigulu na njia kujipitisha kwa wanaume ili uolewe.
5. Asijirahisishe na ngono.
6.wala asipende asiekua wa level yake au mfanano wake.


NB: Natumaini nimeeleweka ahsanteni niwatakie weekend njema.
You have said it all. Mtu analala hovyo na wanaume,analala mpaka na mabosi wake ,na watu ofisini na mtaani wanajua halafu eti anasubiri kuolewa. Wakishalala na wewe, men talk,waoaji wanaogopa!
 
ati kuolewa ni jambo la kawaida hahahahahah wewe itakuwa ule upepo wa kisuli suli ulikupita kwa juu.mtoa mada anataka kuolewa ila kaja na gia nyingine
 
.
tapatalk_1569825530101.jpeg
 
Usipoolewa Maana Yake Hutazaa ?

Ukizaa Maana Yake Utazaa Shaghalabagala Mpaka Na Waume Za Watu Au Vibaka Tu.

Hakuna Mtu Asiyependa Kuwa Na Familia Bora, Yenye Nguvu Na Heshima. Zingine Mbwembwe Tu.

Maisha Bila Familia Ni Ya Upweke Sana And So Boring Na Kila Utakachokipigania, Hutakiona Kama Kina Thamani Yoyote
 
Back
Top Bottom