blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,517
- 8,872
Kafanana na msiba sijui niyeye 🤣🤣
Kumbe anabokolewa"mume wangu yuko Oman anafanya kazi"
Nikawaida kusikia Dr wa magonjwa ya akina mama, tunakoelekea hata Dr wa magonjwa ya akina baba atakuwepo.Yaani wanaume sikuhizi Sijui wamepatwa na nini.....wengine mashoga wengine mboo hazisimami vizuri wengine hazisimami kabisaaaa yaani vurugu mweeeeeeh
Acha tu.Kumbe anabokolewa
Huyo chenga hamna kitu hapo, lazima atakuwa shogaJumapili na pasaka iwe njema kwenu,
Kwa tabia hizi za baadhi ya wanaume ndio maana kuna upungufu wa wanaume duniani.....
View attachment 1077273
Kiuno kama feni, kweli wanaume tunapungua kwa kasi ya 4G
Sijui tutaolewa na kina nani kwa mtindo huo![]()
Yah ndo ilivo hakuna kilichokamili...ukipendacho kina mapungufu yake muhimu ni kuangalia upande upi una uafadhali
Inabidi tuanzishe Chama ili tuzuie haya mamboHawa n baadhi ya wanaume wachache wanaochafua jinsia yetu ya me,ijapokwa sielewi tamaduni za huko uarabuni.