JF imetaka kunipeperushia njiwa wangu

JF imetaka kunipeperushia njiwa wangu

Una miaka mingapi ya kuliwa biriani ?
Acha wivu wakike mkuu au huyo demu unamjua nn maana naona umenikazia kinoma hata kama nidemu wako ila ndio mwenzako namkamua kwasasa
 
Mkuu uko vizuri 25 tayari una maisha ya kuvuliwa shati na suruali
Wengine bado tupo kwa mama tunakunywa chai ya shkamoo
 
Eti ukiona replying zake unaweza fkiri ni mcharuko kumbe sio ,sasa kama sio mcharuko kw nini umeleta uzi wa kuomba ushauri juu yake na sa iv unaomba ushauri juu ya nini mana mi hata sijakuelewa ..lakn Natamani Nione hyo Uzi uloleta mshike mshike kweny ndoa yenu labda naweza kukuelewa.
 
We jamaa sijui nikuweke kundi gani kila kundi nalokukisia unafit naona wana nafuu kuliko wewe
 
Back
Top Bottom