Mi Nadhani Kumkaripia Au Kunyang'a Hizo CDs Sio Dawa!! Issue Hapo ni Kutafuta Ni Nani Anamletea Hizo CDs!! Tena Ongea Nae Kwa Utaratibu Tu Ni Nani anamletea Hizo CDs Akikataa Kukuambia Mtishie Kuwa Utamrudisha Kijijini kwao Au Utamwambia babaake!! Ukisha fahamu Hilo Ni Rahisi Kabisa...
Daaaaaaaahhhhhh Aiseee Huu Uelewa wako Sina Hata Cha kukufananisha nacho. Kwanza Unaelewa maana Ya Mifuko ya jamii!!??? Unafaham Kodi Ni nini!!?? Sasa Kodi utarudishiwa Ukisha Staafu!!??
.....Usizingue Hapa Humu Unapoteza muda Fanya mikopo kwa Watu Tofautitofauti kwa Kiasi Kidogo Kidogo Kuanzia elfu 50 gadi laki 3 Utasolve....Unalialia Kibwegebwege Humu Nani Akusikie Sasa
Nshawai kuwa Kwenye Mahusiano na Dada ambaye kanipita Miaka 3 Daaaaaaahhh alikuwa ananikubali Though Sometimes Nilikiwa namzibua, Na Alikuwa ananiheshimu Vibaya Mno. Kutoa Hela Hadi Nijickie sometimes alikuwa Ananipa yeye. Nilipokuja kufaham amenizidi Umri hivo Nkamkataa, Nkaenda Kwa Wenzangu...
......Ingekuwa Elimu Kubwa Ndo Utendaji Mzuri wa Shughuli za Siasa Au za kijamii Bhas Ma Profs. Wasingeishia Kufundisha Chuo, Hizo Elimu ni Kukariri Tu. Ndo Maana Mtu Kam Markzugerberg Alidrop Shule kwakuwa Kwa Elimu Aliyokuwa nayo Aliweza Kuvumbua Vitu Vingi Vikubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.