Baba yake ni muislam, alikua muumin wa dhati bwana ramadhan na babu yake ni hivyo hivyo na mababu zake wanofuatia huko.
Madam kashatawazwa ata uaskofu apewe.
Ndugu, hii ni sehemu ya habari mbali mbali, ukiona habari haikufurahishi achana nayo.
Hongereni wazanzibari kwa kudai mamlaka yenu na sisi tunaidai Tanganyika yetu.
Shamsu hana mpya...kesha yakheee wazanzibari wenzako hawataki Muungano! Usiwasemee
Sisi ni tofauti na Sudan na somalia! Hizi Nchi zilikua mbili tokea awali kurud hilo sio geni.
Kubaki salama hatubaki tukiwa na viongozi kama wewe umeua watu Pemba wazanzibari wenzako halafu umekuja kutuua na...
Kwa vile bado kuna maswali mengi hayana majibu, historia zote hapa zitakua paukwa pakawa hazina majibu ya ukweli hasa!!
Kawaida ya watawala duniani wanapoingia kwenye utawala hasa kwa njia hizi za mapinduzi na nguvu, huibadili historia ya kweli ili iwe inawasifia wao na kuwakrbehi waliokuwepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.